Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

Maisha yamejaa huzuni kuu, nini kinaleta furaha maishani?

Hatua ya kwanza ni kutambua utambulisho wako, je, wewe ni nani?

Watu wengi wamenasa katika mtego sababu ya identity au vitambulisho vyao. Mfano ukijitambulisha kwa kutumia cheo, elimu, kabila, kazi, jinsia,umri n.k. Unajikuta unachojitambulisha sivyo ulivyo na unakuwa katika false identify au kutokujitambua.
Wow! Bila shaka nahitaji hii code. Napaswa kujitambulishaje? Mfano; Mimi ni nani? Jibu lake lafaa kuwa namna gani?
 
kitu kama hicho nimewahi pitia nilichokuja kujua hakuna mtu wa kukupa furaha kitu pekee ni kujitafutia vitu ambavyo vinakupa furaha vifanye mara moja ....mfano mimi napenda kutembea sometimes natoka naenda msituni just kuangalia nature tu nikitoka apo nakuwa na furaha full pictures za eneo husika na kadhalika ....
 
S
Habari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?

Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.

Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
Sala tano kwa wakati, sala za usiku wa manane na kujikita kuisoma Qur'an ili uifaham havijawahi kumwacha mtu bila furaha.
 
Maisha yenye amani ni kumpokea Bwana Yesu, aingie ndani yako hapo ndipo hata kwenye shida utakuwa na amani utamtegemea yeye tu.

Mathayo 11: 28-30
 

Attachments

  • Screenshot_20240713_165930_Biblia Takatifu.jpg
    Screenshot_20240713_165930_Biblia Takatifu.jpg
    131.1 KB · Views: 4
Kwani furaha yako inatokana na kipi mkuu? Ukipata jibu basi hakikisha unacho na kinadumu kwako ili furaha yako isiteketee..

Mungu ni mkuu👏
 
Binadamu ni kiumbe mwenye akili anayetafuta maana kwenye kila kitu.

Kukosa furaha ni sign ya kukosa purpose na malengo makubwa ya kimaisha. Kazi ya binadamu maishani sio kuishi tu, bali kuishi kwa kutafuta na kuhangaika kila kukicha kufikia malengo. Utafutaji wa hayo malengo kuna mpa sababu ya kuishi na kutumiza hayo malengo ndio kunampa furaha. Your purpose is to chase the dream, forever. So to give your life and existence a meaning.

Elon Musk ni tajiri mkubwa na goal na purpose ya maisha yake ni kucolonize Mars. It's a big goal and it sounds ridiculous lakini ndio uhalisia wa maisha in extreme examples.

Haya mambo mara nyingi huwatokea watu walioshi maisha ya shida na kuspend muda wao wote kutafuta nafuu ya maisha kwa kupata kazi. Wakiipata hiyo nafuu, wanafurahi kwa muda alafu wanabaki empty hawajui cha kufanya.

That's why wafanyakazi wengi wachumia tumbo ni walevi.

Kwakuwa wewe sio tajiri au successful kama Elon Musk, means hautohitaji a ridiculously giant purpose kama kwenda kuishi Mars au ku revolutionize space travel in order to achieve interstellar transportation hence turning human species into multiplanetary species.

Then kuwa na mke na watoto kutakupa purpose ya kuishi na kuondoa unyonge, either kwa wema au kwa ubaya.

Or else you need to join a Fight Club.
 
Hii Hali ni ngumu sana. Moyo unauma na hujui shida ni nini. Naweza kujitahidi kuongea na wazazi na ndugu lakini maongezi yakiisha tu Hali inarudi pale pale hasa wikiendi hizi.
Company... .. jichanganye.. ..nenda open places... utakutana na watu watakao kupa mitizamo mwingine.. ..,katika mambo mengi na utasaidika .. ...
 
Habari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?

Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.

Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
Muabudu Mungu ktk roho na kweli
 
Binadamu ni kiumbe mwenye akili anayetafuta maana kwenye kila kitu.

Kukosa furaha ni sign ya kukosa purpose na malengo makubwa ya kimaisha. Kazi ya binadamu maishani sio kuishi tu, bali kuishi kwa kutafuta na kuhangaika kila kukicha kufikia malengo. Utafutaji wa hayo malengo kuna mpa sababu ya kuishi na kutumiza hayo malengo ndio kunampa furaha. Your purpose is to chase the dream, forever. So to give your life and existence a meaning.

Elon Musk ni tajiri mkubwa na goal na purpose ya maisha yake ni kucolonize Mars. It's a big goal and it sounds ridiculous lakini ndio uhalisia wa maisha in extreme examples.

Haya mambo mara nyingi huwatokea watu walioshi maisha ya shida na kuspend muda wao wote kutafuta nafuu ya maisha kwa kupata kazi. Wakiipata hiyo nafuu, wanafurahi kwa muda alafu wanabaki empty hawajui cha kufanya.

That's why wafanyakazi wengi wachumia tumbo ni walevi.

Kwakuwa wewe sio tajiri au successful kama Elon Musk, means hautohitaji a ridiculously giant purpose kama kwenda kuishi Mars au ku revolutionize space travel in order to achieve interstellar transportation hence turning human species into multiplanetary species.

Then kuwa na mke na watoto kutakupa purpose ya kuishi na kuondoa unyonge, either kwa wema au kwa ubaya.

Or else you need to join a Fight Club.
Nimecheka sana. Mkuu, kuna mtu mmoja ametoa ushauri mzuri sana. Kwamba, furaha tunayoitafuta ipo ndani yetu. Happiness is a choice! Unaweza ukapambana kufanya mambo mengi sana katika maisha na ukafanikiwa kwa kiasi kikubwa lakini bado usiwe na furaha. Nina imani nitafanyia kazi ushauri mzuri nilio upokea. Asnte sana.
 
We unahis ukiwa wapi unakosa amani ,nimetumia tu baa kifupi unaonesha unapokua alone ndio unapata huo mda wa kuwaza , usiruhusu kua mwenyewe hakikisha umejichanganya kuanzia muda wa kulala mpka kwenye harakati ,kwa kifupi nilikumbana na hali hio baada ya kupoteza familia yangu ya awali nikawa mpweke sana hasa nikiwa nyumban ,nikachukua ndugu nikaishi nae kwani sikua na nia ya kuoa kwa kipindi hiko
Pole sana mkuu. Nimekuelewa vizuri sana. Asante kwa ushauri mzuri.
 
Habari za wikiendi familia? Ni kitu gani huweza kuleta furaha katika Maisha? Mali? Mke? Watoto? Marafiki? Ibada? Au ajira?

Mwenzenu siku za karibuni nakuwa mwenye huzuni sana. Sijioni kuwa mwenye furaha japo mambo mengi niliyoyatamani kuyafikia angalau kwa kiasi namshukuru Mungu.

Wakati mwingine nafikiria pengine nioe lakini akili inagombana na moyo. Ni nini hasa huleta furaha katika Maisha?
Naomba kusoma comment apa Kisha no take action direct ktk hili😂😂😂
 
Furaha ni wewe mwenyewe, furaha unaitengeneza mwenyewe, hailetwi na mke wala mme wala rafiki.

Jitengenezee furaha yako, furaha yako unaitengenezaje?? Kuwa na pesa? Basi zitafute sana....furaha yako ni kuzagamua?? Nenda kafanye. Furaha yako ni nini??
Dadeq 😄
 
Binadamu ni kiumbe mwenye akili anayetafuta maana kwenye kila kitu.

Kukosa furaha ni sign ya kukosa purpose na malengo makubwa ya kimaisha. Kazi ya binadamu maishani sio kuishi tu, bali kuishi kwa kutafuta na kuhangaika kila kukicha kufikia malengo. Utafutaji wa hayo malengo kuna mpa sababu ya kuishi na kutumiza hayo malengo ndio kunampa furaha. Your purpose is to chase the dream, forever. So to give your life and existence a meaning.

Elon Musk ni tajiri mkubwa na goal na purpose ya maisha yake ni kucolonize Mars. It's a big goal and it sounds ridiculous lakini ndio uhalisia wa maisha in extreme examples.

Haya mambo mara nyingi huwatokea watu walioshi maisha ya shida na kuspend muda wao wote kutafuta nafuu ya maisha kwa kupata kazi. Wakiipata hiyo nafuu, wanafurahi kwa muda alafu wanabaki empty hawajui cha kufanya.

That's why wafanyakazi wengi wachumia tumbo ni walevi.

Kwakuwa wewe sio tajiri au successful kama Elon Musk, means hautohitaji a ridiculously giant purpose kama kwenda kuishi Mars au ku revolutionize space travel in order to achieve interstellar transportation hence turning human species into multiplanetary species.

Then kuwa na mke na watoto kutakupa purpose ya kuishi na kuondoa unyonge, either kwa wema au kwa ubaya.

Or else you need to join a Fight Club.
Jibu hili hapa hasa point ya kwanza ya kuwa na malengo makubwa.

Kuna mtu aliwahi kusema inabidi mtu uwe na malengo makubwa hadi yakutishe. Ukiwa na malengo ya namna hiyo hautaboreka wala kuweweseka kutokana na upweke au changamoto za dunia, changamoto zote za maisha utaziona cha mtoto (hata kama hautazitatua) maana focus yako itakuwa kufikia malengo hayo makubwa ambayo kuna uwezekano mkubwa utatumia maisha yako yote kujaribu kuyafikia.
 
Back
Top Bottom