Life is purposeless which makes it even much boring.
Pesa itakupa furaha ya muda mfupi tu kwa sababu utaweza kukidhi mahitaji ya hapa na pale, lakini hiyo sio furaha ya kweli.
Hata uwe na magari na majumba huwezi kupata furaha ya kweli, utakuwa unajifariji tu huku ukiyaangalia matofali na kuta za nyumba na kujipiga kifua kuwa wewe ni mwamba lakini hakuna lolote.
Ukipata pesa hakikisha unakula kuku, kitimoto za kutosha kisha gida bia mbili za nguvu.
Maisha bila BIA yana faida gani?
Kula BIA.
Cc:
mshamba_mwingine Poor Brain