Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chase Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo

Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chase Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo

Okay mimi nilifanya hivi hapa sitatoa siri zote bwa shehe.
1.Eneo ambalo nimefungua maabara yangu imezingukwa na vitu vifuatavyo..
[emoji117]Gereji
[emoji117]Wafyatua matofali
[emoji117]Wachana mbao
Sasa niligundua wale wote hawana sehemu ya kula mpaka waagize stand ambapo ni kama mita 200 kutoka biashara zilipo na vyakula vyao ni low quality mno kwa bei kubwa.
Ninapofanya kazi ,wanapika ugali wa buku lakini wanajitahidi wanaweka dagaa,maharage,samaki na mboga za majani,wakati huo huo pale nilipofungua Lab ugali wanauza 1500 kwa mboga zile zile kwa low quality.

Nikafanya hivi Ugali nimeweka kwa buku jero ila nimeongeza tunda kwenye sahani naweka ndizi kipande au kipande cha nanasi(matunda nchakulia stirio au buguruni).Kwenye sahani najitahidi na nimewaambia wadada wanaonisaidia chakula lazima kiwe bora watie viungo vinavyohitajika na kwa ubora mkubwa hata kama faida itakua ndogo(mwanzoni target yangu ilikua ni biashara kwanza faida nilitegemea kupata kwenye vinywaji na si chakula)..hivyo mtu akinunua ugali wa buku jero anakutana na tunda hilo likawa bao la kwanza.

2.Wali nako nimejitahidi kuwaelesha uwe mzuri na wanapika vyema wanaweka njegere mara moja moja kwenye wali hivyo watu wanavutiwa kuja pale,,,

4.Usafi wa hali ya juu kuanzia mazingira hadi vyombo na lugha nzuri

5.Supu nauza buku lakini kwenye kila bakuli naweka na kiazi hivyo bakuli inapendeza na ni safi mno(natarajia kuweka kipande cha mkate huko mbeleni ila bado ndo nafikiria.

6.Wafanyakazi wawili ,huyu mmoja nimemtoa ninapofanya kazi baada kumona mchapa kazi na analipwa elfu 4 kwa siku nikamvuta kwangu kwa elfu 7. Na yule mwingine yeye makubaliano yetu awe msimamizi mkuu halafu tunalipana kutokana na kinachopatikana hivyo anafanya kazi kwa ubunifu mkubwa ukizingatia ni mtu wa dini sana na mpishi mzuri balaa.

Mahitaji yote sinunui rejareja
[emoji117]Mchele,unga,viazi ,mafuta nk nanunua jumla
[emoji117]Nyanya sterio nk

Natarajia kufanya haya
1.kununua mafriza makubwa mawili ili nianze kuweka na vinywaji
2.Kuweka na mtu wa chipsi auze kwa bei chee

Nk

Nb:Sio muandishi mzuri ila nina imani kwa uchache ndugu umeambulia kitu muhimu fanya kitu bora hata kama faida ndogo baada ya muda wateja wakizidi utapata kubwa.
We jamaa huna roho mbaya, wachache sana wa kushea hivi[emoji848][emoji848]

God bless u[emoji120][emoji120]
 
Kumbe Kuna watu wanapenda shida
Toka zamani watu wanaimba wimbo wa Maisha Magumu,na hata wakati niko mdogo pia Wazazi wangu nao walikuwa wanaimba wimbo huohuo tunaoimba Sasa!! Alafu siyo kweli kila Mtu anaesema Maisha Magumu ni kweli ana Maisha Magumu, Wengine wafuata mkumbo tu lakini wako vizuri sana kimaisha!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kuna ndugu yangu mmoja anayo Bajaj na anapewa pesa hii kila siku...
Mwana nina gari iko Dar ni Toyota Sienta, shida kubwa ni milango ya abiria kufunguka, mana ina milango kulia na kushoto. Kama uko tayari nikirudi TZ ntakuuzia hiyo uifanye uber maana ishu ya mafuta ni kunusa tu.
 
Akili kubwa weye hongera sana. Wenye kuona mbali wataifanyia kazi ili wajinusuru na dhuluma iliyopo mbele yao.
Hili nililigundua mapeeeema

Sina hata senti bank

NB

Hii comment yako Kuna watu wataikumbuka sana[emoji848][emoji848]
 
Hongera sana 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Okay mimi nilifanya hivi hapa sitatoa siri zote bwa shehe.
1.Eneo ambalo nimefungua maabara yangu imezingukwa na vitu vifuatavyo..
[emoji117]Gereji
[emoji117]Wafyatua matofali
[emoji117]Wachana mbao
Sasa niligundua wale wote hawana sehemu ya kula mpaka waagize stand ambapo ni kama mita 200 kutoka biashara zilipo na vyakula vyao ni low quality mno kwa bei kubwa.
Ninapofanya kazi ,wanapika ugali wa buku lakini wanajitahidi wanaweka dagaa,maharage,samaki na mboga za majani,wakati huo huo pale nilipofungua Lab ugali wanauza 1500 kwa mboga zile zile kwa low quality.

Nikafanya hivi Ugali nimeweka kwa buku jero ila nimeongeza tunda kwenye sahani naweka ndizi kipande au kipande cha nanasi(matunda nchakulia stirio au buguruni).Kwenye sahani najitahidi na nimewaambia wadada wanaonisaidia chakula lazima kiwe bora watie viungo vinavyohitajika na kwa ubora mkubwa hata kama faida itakua ndogo(mwanzoni target yangu ilikua ni biashara kwanza faida nilitegemea kupata kwenye vinywaji na si chakula)..hivyo mtu akinunua ugali wa buku jero anakutana na tunda hilo likawa bao la kwanza.

2.Wali nako nimejitahidi kuwaelesha uwe mzuri na wanapika vyema wanaweka njegere mara moja moja kwenye wali hivyo watu wanavutiwa kuja pale,,,

4.Usafi wa hali ya juu kuanzia mazingira hadi vyombo na lugha nzuri

5.Supu nauza buku lakini kwenye kila bakuli naweka na kiazi hivyo bakuli inapendeza na ni safi mno(natarajia kuweka kipande cha mkate huko mbeleni ila bado ndo nafikiria.

6.Wafanyakazi wawili ,huyu mmoja nimemtoa ninapofanya kazi baada kumona mchapa kazi na analipwa elfu 4 kwa siku nikamvuta kwangu kwa elfu 7. Na yule mwingine yeye makubaliano yetu awe msimamizi mkuu halafu tunalipana kutokana na kinachopatikana hivyo anafanya kazi kwa ubunifu mkubwa ukizingatia ni mtu wa dini sana na mpishi mzuri balaa.

Mahitaji yote sinunui rejareja
[emoji117]Mchele,unga,viazi ,mafuta nk nanunua jumla
[emoji117]Nyanya sterio nk

Natarajia kufanya haya
1.kununua mafriza makubwa mawili ili nianze kuweka na vinywaji
2.Kuweka na mtu wa chipsi auze kwa bei chee

Nk

Nb:Sio muandishi mzuri ila nina imani kwa uchache ndugu umeambulia kitu muhimu fanya kitu bora hata kama faida ndogo baada ya muda wateja wakizidi utapata kubwa.
 
Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chaser Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo.

Sasa ni karibia mwezi wa saba huu tangia nianze biashara hii ya kuendesha Taxi bubu. Nilianza mwezi wa tano (May) mwaka huu wa 2020. Biashara imekuwa ngumu sana kwa maana siku hizi kuna Bajaj.

Mtu anaona bora akodishe Bajaj kwa bei nafuu ndio ampeleke mgonjwa hospital au kwenda mjini. Sisi Taxi Drivers tupo hoi biashara imeshuka. Kabla ya Bajaj kuja huko mambo yalikuwa shwari sana mwaka jana 2019, ila sasa hivi ni balaa tupu.

CHASER AVANTE NUMBER "A"

View attachment 1652148

Kabla ya kuja Bajaj kulikuwa na hawa bodaboda ambao wao hawakuwa kikwazo kwetu kwa maana mtu hawezi kukodi bodaboda akabeba maharusi au akampeleka mama mjamzito kujifungua hospitali ya mbali.

Niliwahi kuwaza niendeshe gari hii kama Uber ila kutokana na ukubwa wake wa engine nisingeweza kupata faida yoyote. Ninaombeni msaada wenu wa mawazo.
Hivi uber inalipa kama ukiendesha gari yako mwenyewe?
 
Wewe unavyolalamika hapo, hebu mfikirie mdada hapo uswazini kwenu ana kibiashara kidogo ambacho hakimtoshi kula yeye na familia yake ila ana michezo majina ma4 kila jina anacheza 2500
 
Ooh,,sasa fanya hivi,,uza hiyo gari nenda bk pakia mikungu ya ndizi kwenye mv victory,, njoo ushushe mwanza,,saa sita tu ushauza mzigo unahesabu faida,piga trip nne tu kwa mwezi,baada ya miezi sita,utakua

Ooh,,sasa fanya hivi,,uza hiyo gari nenda bk pakia mikungu ya ndizi kwenye mv victory,, njoo ushushe mwanza,,saa sita tu ushauza mzigo unahesabu faida,piga trip nne tu kwa mwezi,baada ya miezi sita,utakua ushatoboa
Motivation speaker 😎
 
Uza nunua bajaji.

Lazima ujifunze kuishi baharini na nchi kavu. Na uwe unabadirika kulingana na mazingira kama kinyonga.
[/QUOTE Bajaj mkuu ni 8.5milion mpaka inaingia road.iyo gari ata 4.5 sijui kama atauza.sipondi ila soko ndo lipo ivo
 
Hapa inategemea na aina ya biashara pia...ila kwenye vyombo vya moto kwa fikra zangu najua faida inakuja baada ya kurudisha pesa uliyonunulia chombo.
Ukipiga mahesabu hivyo hutakaa ufanye biashara kamwe. Kanuni ya biashara faida ni kile kinachobaki baada ya gharama za uendeashaji mfano mishqhqra, mafuta, matengenezo etc. Hiyo sh 7m uliyonunulia bajaj kibiashara inahesabika kama Mtaji wa biashara na si sehemu ya uendeshaji wa siku kwa siku
 
Back
Top Bottom