Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chase Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo

Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chase Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo

Wewe unavyolalamika hapo, hebu mfikirie mdada hapo uswazini kwenu ana kibiashara kidogo ambacho hakimtoshi kula yeye na familia yake ila ana michezo majina ma4 kila jina anacheza 2500
Tatizo lake yeye anawaangalia sana akina Pateli na akina Bahkresa! Anasau kuangalia watu waliomzunguka uswahilini kwake ili ajuwe uhalisia wa Maisha!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sema Tanzania ni nchi ya "amani" sana!!! Unajua nchi zingine Uber walipata upinzani sana kutoka kwa Taxi Drivers ambao waliamini Uber inaenda kuua biashara yao!!

Mchawi #1 wa Taxi ni Uber & et. al... siku hizi there's no way unaweza kunisimamisha barabarani eti nisubiri taxi niipige mkono au niende kwenye vituo vyao!!
 
Muraaa usiuse ngari kwa hasara liweke hapo nyumbani litakusaidia. Kupereja mama boke hospital. Siku ya kujifungua. Faida uliopata kwa ngari iyo ndiyo nunua bajaji Au kirikuu. kaongezee ngombe kure tarime
Kirikuu hata isipokodiwa utanunulia mapara chichi ukauze. Utabebea mfu.

Ukipack kiwangwa usipopata wateja pare mura wewe beba nanasi zako za kutosha hivo hivo anza kuuza rejareja kutokea bagamoyo mpaka Africa sana unamaliza rudi tena.

Tegesha ukodiwe hamna fanya hivo hivo. Mananasi Mazuri zaidi peleka ikulu hurari njaa!kweriiii!!!
 
yani ununue babaji milioni 7 ili dereva akuletee sijui 20,000 kwa siku mpaka upate faida cjui lini hapo una-assume haijaharibika ,haijakamtwa,hujaibia spare,haijapata ajali ,mwendo wa presure tu
Hakuna biashara rahisi mkuu
 
Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chaser Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo.

Sasa ni karibia mwezi wa saba huu tangia nianze biashara hii ya kuendesha Taxi bubu. Nilianza mwezi wa tano (May) mwaka huu wa 2020. Biashara imekuwa ngumu sana kwa maana siku hizi kuna Bajaj.

Mtu anaona bora akodishe Bajaj kwa bei nafuu ndio ampeleke mgonjwa hospital au kwenda mjini. Sisi Taxi Drivers tupo hoi biashara imeshuka. Kabla ya Bajaj kuja huko mambo yalikuwa shwari sana mwaka jana 2019, ila sasa hivi ni balaa tupu.

CHASER AVANTE NUMBER "A"

View attachment 1652148

Kabla ya kuja Bajaj kulikuwa na hawa bodaboda ambao wao hawakuwa kikwazo kwetu kwa maana mtu hawezi kukodi bodaboda akabeba maharusi au akampeleka mama mjamzito kujifungua hospitali ya mbali.

Niliwahi kuwaza niendeshe gari hii kama Uber ila kutokana na ukubwa wake wa engine nisingeweza kupata faida yoyote. Ninaombeni msaada wenu wa mawazo.
Mkuu pub inalipa kama utakumbuka kuweka watoto wa singida kwa wingi 😆😆😆.kila kheri kwenye hili wazo lako jipya
 
Back
Top Bottom