PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Jembe komaa mambo yatakaa sawa tu kukata tamaa siyo ishu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maamuzi magumu ni kufanya kazi kwa juhudi na maarifa, ongeza bidii. Asiyefanya kazi na asile na asipokula na afwe.
maisha magumu lakini foleni za magari hazipungui, au magari yanatumia maji siku hizi?
Ulizoea kuishi kwa madili haya ndio mabadiliko waliyoimba bavicha na wakadeki hadi rami
serikali imetoa fursa kwa kila mtu kufanyabiashara mahali popote bila vikwazo, ndio maana unaona ongezeko la machinga kila kona ya mji, mtaa, biashara zikiwa nyingi na mapato yanapungua,Mkuu watu wanafanya kazi kwa juhudi na maarifa ila purchasing power Ni ndogo mpaka watu mitaji inakata. Hapo inakuaje?
Wakulima waliolima Kwa bidii wakakosa masoko nao vipiMaamuzi magumu ni kufanya kazi kwa juhudi na maarifa, ongeza bidii. Asiyefanya kazi na asile na asipokula na afwe.
wakulima wa korosho wamelipwa pesa zao za mauzo, iliyopata hasara ni serikali kwa kukosa soko nje ya nchi sio mkulimaVipi waliokuwa wakitegemea korosho, pamba,wastaafu walitegemea dili gani?
Tuache utani jamani,hali ni mbaya sana huku mtaani,hela haipatikani,bei ya vitu inazidi kupanda,shambani nako vurugu mechi tupu,kifupi hali ni tete na sio kwamba watu hatufanyi kazi kwa bidii la hasha.Kwa hapa tulipofikia tunahitaji kufanya maamuzi magumu haki ya Mungu Wallah!!
Pole sana, ukweli ni bado, mpaka wake zeru wavae kaniki!! 🤬 😡Tuache utani jamani,hali ni mbaya sana huku mtaani,hela haipatikani,bei ya vitu inazidi kupanda,shambani nako vurugu mechi tupu,kifupi hali ni tete na sio kwamba watu hatufanyi kazi kwa bidii la hasha.Kwa hapa tulipofikia tunahitaji kufanya maamuzi magumu haki ya Mungu Wallah!!
kwa hiyo dar hakuna maisha magumu ndio maana watu wanamiliki magar kwa wingi?Acha ujinga ww demu. Tanzania ina wananchi 55m, idadi ya magari haifiki 1.5m. au ukiona magari mengi yako sehemu ndogo unadhani nchi hii ina magari mengi hivyo? Nenda vijijini huko ukaone kulivyo na uhaba wa magari. Unakaa mahali kwa siku huoni magari zaidi ya matano. Na hiyo ni karibu asilimia 80 ya nchi nzima. Au unadhani Tanzania ni Dar pekee?
Bado hadi wote wapaki hizo Ist ndo tutaamini maisha ni magumu, Mzee azidi kukaba zaidi hata pa kukopana tukosekwa hiyo dar hakuna maisha magumu ndio maana watu wanamiliki magar kwa wingi?
wakulima wa korosho wamelipwa pesa zao za mauzo, iliyopata hasara ni serikali kwa kukosa soko nje ya nchi sio mkulima