Maisha yamekuwa magumu sana mtaani

Mbona wametutangazia kuwa shilingi elfu mbili zinatosha milo yote muhimu kwa siku, tuunge mkono juhudi.
 
Uko Facebook kumegeuka kuwa eneo la vizinga kwa wa Dada zetu, yaani hadi Huruma, utasikia dear naomba vocha nitumie kwenye m_pesa, Mara dear sijalala my dear nijali kwa juice, mwingine kifurushi cha Azam niangalie tamthilia, Sasa walivyojibongo'a na tu picha twao siku hizi vya mdomo chuchungi yaani kama vile anakukongo'li busu sijui ndio ugumu wa maisha? Hatari Sana I see.
 
Tz Ina watu milioni 60.1 kwa mujibu wa ripoti ya UN ya mwaka Jana! Hayo ya 55 Ni siasa za Pombe tu anajua kwanini!
 
Tupo Kwenye laiti traki asema Jiwe.
Wote tuitike Amen!
 
Hapo bado unaishi kama Binadamu

Ikifikia mnaishi kama Mashetani baas malengo yatakuwa yamefanikiwa.
 
Unafanya shughuli gani mkuu, upewe ushauri? Wakati mwingine jisemee nafsi yako tu. Acha na wengine wajisemee. Muda unaotumia kutype hayo maisha magumu kuna wengine wanaingiza pesa. Mfumo wetu wa elimu unazalisha wavivu wa kufikiri.
mkuu uache tu unafki,Hali ni ngumu kama alivyosema,I am employed in a chinese based contractor,last 2 months waliwa deport wachina wenzao 40 kwa lack of miradi, walifanya redundancy zaidi ya robo tatu ya wafanyakazi wakibongo.ZAIDI YA ROBO TATU.Kwa sababu gani? Hakuna miradi.Je kuanzia 2002 walipokuja Tanzania walishawahi kuwa out of Projects? Jibu ni hapana, kwa wachache tuliobakizwa hawa maboss zetu wakiAsia wanasema kabisa kampuni haina hela za kujiendesha / Profit margin imeshuka/ madeni bank hayalipiki na hakuna promise ya kupata miradi mipya Serikalini au binafsi...


Unaongea kitu gani bwana? Hadi foreigners wanajua hali ni mbaya halafu wewe unajitoa ufahamu?
 
Wakati maisha magumu, malaika mtakatifu wa Mungu anatumika kodi zetu kuipeleka Airbus Q400 nyumbani kwake Kula bata huku akiwaambia malofa HAPA KAZI TU.
Kaenda kuwaringishia wasukuma wanamiliki baiskeli yeye anamiliki ndege
 
hao jamaa sio kama hawajui hali ilivyo,but ID zao ziko monitored na Polepole,unatarajia nini hapo kuu?
 
Ifike mahali Mheshimiwa Rais uache tabia yako ya kuchukia watu wanaokosoa miradi yako na kusema eti ni mpiga dili au fisadi. Inamana kwamba hata muuza mchicha fungu mia mbili na alikuwa ni fisadi? Mbona kituko hiki!

Ifike mahali Mh. Rais uache kusikiliza wapambe hao wanaosema wanasimama na wewe, wanakudanganya. Pia uache uongo mara kwa mara kuwadanganya Watanzania. Hii kitu inakera na haipendezi. Rais unaomba Watanzania wakuombee halafu unakuwa muongo muongo.

Mnakuwa mna maana gani au mnatupeleka wapi jamani?

Mfano, yaliyotokea kwenye korosho wewe na Waziri wako mlisema mmelipa madeni yote wakati sio kweli.

Sio kwamba watu wanabeza miradi yako, tatizo hamzingatii vipaumbele mlivyohaidi kwa wananchi, vipaumbele ambavyo vitamgusa moja kwa moja Mtanzania.

Iko wapi Tanzania ya viwanda mpaka leo? Sector ambayo ingeenda kuajiri asilimia kubwa ya vijana.

Tunakuomba Rais uzungumze na vijana utoe neno la kuwatia moyo vijana ili wajue mahali mnapowapeleka, hali inazidi kuwa ngumu na vijana wanapata tabu sana awamu hii - sio ajira, kilimo wala biashara - mambo ni magumu hatuoni wawekezaji ambao wanaweza kuchochea uchumi wa taifa wala hatuoni dalili ya Tanzania ya Viwanda.
 
Raisi wa wanyonge hao wanyonge waliozalishwa na ccm mnataka shetani abadilike kuwa malaika mnyonge lazima anyongwe mpo na raisi mpiga porojo mtakula mandege na mastigila joji tunataka umeme mkubwa wa vwanda wakat hamna viwanda na biashara zinakufa sijui mnafugia panya umeme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…