APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
Kusema la kweli hali mtaani imekuwa hatari, nimeshuhudia biashara nyingi zinafungwa, kuna mshikaji wangu alikuwa na office ya uwakala mitandao ya simu, kafilisika kabisa kafunga banda lake miezi 3 inaisha sasa, mpaka majani yameota, niliwekeza kwenye baadhi ya biashara kwa mfano nilifungua office 3 za library ya cd,mapato kwa siku yalikuwa kwanzia 25000-40000, ila sasa kupata 15000 ni kwa tabu mnoo.
Jiji limezidi kuwa gumu na fikria nifunge office zote Dar nikatafute chaka lingine bush, kuna machaka kibao Tanzania sijui kwanini mpaka sasa na ng'ang'ania Dar, ni swali ambalo naliwaza sipati usingizi kabisa, nimeingiwa naroho ya kuichukia bongo kinoma noma. Nafikria niwekeze kwenye kilimo kila nikifikiria hali ilivyo kwenye kilimo nakata tamaa, nimeona nibakiwe na office zAngu zilizopo Arusha tu.
Jamani wenzangu hali ni ngumu kwangu tu au pia kwenu ni tete kama mimi? Biashara za mikoani zipo fresh ila tatizo bongo hii ishakuwa bongo nyoso, eti wanasema mama anaupiga mwingi, au hIzi tozo mama ndio anaupiga mwingi? au hizo vita za wazungu zinafanya uchumi kubadilika?
Sijawahi kulizika na maisha na itaka itokee hata siku moja kwa maisha ninaotamani kuwa nayo nikifikisha 40, nimekuwa mfano kwenye ukoo wetu na hata kijiji nilipotoka huwa wananiona bonge la genius kinyama kwenye kusaka ela ila hii hali inanitisha sana ni hayo tu ndugu zangu nimejaribu kusema yote yaliyopo moyoni mwangu.
Kama kuna nilichokiandika kitamkwanza yeyote humu nisameheni, nimejaribu kuandika jinsi nilivyo maana mimi ndo nilivyooo ndoo hayo tuuu
Jiji limezidi kuwa gumu na fikria nifunge office zote Dar nikatafute chaka lingine bush, kuna machaka kibao Tanzania sijui kwanini mpaka sasa na ng'ang'ania Dar, ni swali ambalo naliwaza sipati usingizi kabisa, nimeingiwa naroho ya kuichukia bongo kinoma noma. Nafikria niwekeze kwenye kilimo kila nikifikiria hali ilivyo kwenye kilimo nakata tamaa, nimeona nibakiwe na office zAngu zilizopo Arusha tu.
Jamani wenzangu hali ni ngumu kwangu tu au pia kwenu ni tete kama mimi? Biashara za mikoani zipo fresh ila tatizo bongo hii ishakuwa bongo nyoso, eti wanasema mama anaupiga mwingi, au hIzi tozo mama ndio anaupiga mwingi? au hizo vita za wazungu zinafanya uchumi kubadilika?
Sijawahi kulizika na maisha na itaka itokee hata siku moja kwa maisha ninaotamani kuwa nayo nikifikisha 40, nimekuwa mfano kwenye ukoo wetu na hata kijiji nilipotoka huwa wananiona bonge la genius kinyama kwenye kusaka ela ila hii hali inanitisha sana ni hayo tu ndugu zangu nimejaribu kusema yote yaliyopo moyoni mwangu.
Kama kuna nilichokiandika kitamkwanza yeyote humu nisameheni, nimejaribu kuandika jinsi nilivyo maana mimi ndo nilivyooo ndoo hayo tuuu