APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
- Thread starter
- #21
Uliona mbali mkuuMi nilipoona Bi Mkubwa alipoingia tu , kaanza kwa kupandisha gharama za bundle , Nikaona basi huyu sera zake sio nzuri , nikahama Dar na ku-change biashara
Hatimae nilichokitabiria kimekamilika , vijana walokua wanapiga pesa online wamekufa kifudifudi
Totauti Kati ya ndani na njee mkuu hii imekaajeNdio sasa kwa huo huo mfano wa kuchukua mashamba yao na vitu walivyonavyo kaa chini kwa mfumo huo huo fikiria tuliza Akili alafu fanya ujitafutie nje ya huo mfumo sio ndani ya mfumo unapiga pesa mingi au bado haujaelewa hapo?