Maisha yamekuwa magumu sana siku hizi

Maisha yamekuwa magumu sana siku hizi

Kilicho baki nikupambana tu,maana yule raisi aliyetufanya watanzania kutembea kifua mbele atunaye tena,tuishi kuendana na mazingira
 
Kuna Jamaa aliwahi kuniambia:

Ujanja ni kua na Akili ya utafutaji nje ya mfumo

Yaan mfumo wa Tajiri kuchukua kwa Masikini na kujilimbikizia yeye tu anatajirika yeye tu na sio vinginevyo

Lakini nilipomuhoji huo mfumo unaendaje endaje yaan unaanzaje anzaje kuwapora Masikini huku wao wanakuchekea tu?

Hadi leo hajawahi kunipa jibu
Monopoly/Ukiritimba hii kitu ndio matajiri huwa wanafanya
 
Kusema la kweli hali mtaani imekuwa hatari, nimeshuhudia biashara nyingi zinafungwa, kuna mshikaji wangu alikuwa na office ya uwakala mitandao ya simu, kafilisika kabisa kafunga banda lake miezi 3 inaisha sasa, mpaka majani yameota, niliwekeza kwenye baadhi ya biashara kwa mfano nilifungua office 3 za library ya cd,mapato kwa siku yalikuwa kwanzia 25000-40000, ila sasa kupata 15000 ni kwa tabu mnoo.

Jiji limezidi kuwa gumu na fikria nifunge office zote Dar nikatafute chaka lingine bush, kuna machaka kibao Tanzania sijui kwanini mpaka sasa na ng'ang'ania Dar, ni swali ambalo naliwaza sipati usingizi kabisa, nimeingiwa naroho ya kuichukia bongo kinoma noma. Nafikria niwekeze kwenye kilimo kila nikifikiria hali ilivyo kwenye kilimo nakata tamaa, nimeona nibakiwe na office zAngu zilizopo Arusha tu.

Jamani wenzangu hali ni ngumu kwangu tu au pia kwenu ni tete kama mimi? Biashara za mikoani zipo fresh ila tatizo bongo hii ishakuwa bongo nyoso, eti wanasema mama anaupiga mwingi, au hIzi tozo mama ndio anaupiga mwingi? au hizo vita za wazungu zinafanya uchumi kubadilika?

Sijawahi kulizika na maisha na itaka itokee hata siku moja kwa maisha ninaotamani kuwa nayo nikifikisha 40, nimekuwa mfano kwenye ukoo wetu na hata kijiji nilipotoka huwa wananiona bonge la genius kinyama kwenye kusaka ela ila hii hali inanitisha sana ni hayo tu ndugu zangu nimejaribu kusema yote yaliyopo moyoni mwangu.

Kama kuna nilichokiandika kitamkwanza yeyote humu nisameheni, nimejaribu kuandika jinsi nilivyo maana mimi ndo nilivyooo ndoo hayo tuuu
Nna swali moja kwako...

Je wakati mapato yakiwa mazuri hela uliyo pata uliifanyia nini?

Je hukujua kuna siku mambo yatakua magumu na biashara ya cd ni ya msimu?
 
Kuna Jamaa aliwahi kuniambia:

Ujanja ni kua na Akili ya utafutaji nje ya mfumo

Yaan mfumo wa Tajiri kuchukua kwa Masikini na kujilimbikizia yeye tu anatajirika yeye tu na sio vinginevyo

Lakini nilipomuhoji huo mfumo unaendaje endaje yaan unaanzaje anzaje kuwapora Masikini huku wao wanakuchekea tu?

Hadi leo hajawahi kunipa jibu
Dah...
 
Back
Top Bottom