Enter Passcode
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 479
- 942
- Thread starter
-
- #21
Poa Muoga asikuja huku ,onesha vitendo tu Natafuta vijana ambao sio waoga kabisa wa maisha na wamechoshwa na hali ya umasikini waliyo nayo.
NARUDIA TENA KWA MAANDISHI MAKUBWA SIO WAOGA KABISA.
VIJANA WAOGA SIWATAKI KABISA.
Story zinakua nyingi sasaUnaweza kukusanya vijana wenzako wenye hali mbaya kiuchumi ?
Kama utaweza kushawishi na wasomi wasio na ajira wasio na mbele wala nyuma utakuwa umefanya vizuri.
Kama unaweza hayo wewe ni mtu sahihi nina muhitaji mkiwa wengi ni jambo jema
Umeelewa lakini au bado unajifikiria ?Story zinakua nyingi sasa
Nataka usaili,ndo utaamini kwambaHakikisha hauna familia nyuma uliyoaacha ya kuanza kuionea huruma.
Kama utakuwa hujaoa kabisa wala hauna mtu unaye mpenda sana itakuwa vizuri.
Hii ni kazi kazi sio kuja kupaka poda ni msitu kwa msitu kama kweli unaumizwa na hali ya umasikini wa jamii yako huku wengine wakitumbua tu mali.
Nitafute.
NARUDIA TENA VIJANA WALIO JIKANA NAFSI ZAO SIO WATOTO WA MAMA
OvaUmeelewa lakini au bado unajifikiria ?
Nitumie namba yako PMNataka usaili,ndo utaamini kwamba
Start conversation inagoma,kama kuna alternative plzNitumie namba yako PM
Ila kumbuka sio kazi ya kuchoma mkaa au kubeba magogo ni tofauti
Unashindwa kutuma ?Start conversation inagoma,kama kuna alternative plz
Vijana jichanganyeni mkabutuliwe na Israel mabomu ya makalioHakikisha hauna familia nyuma uliyoaacha ya kuanza kuionea huruma.
Kama utakuwa hujaoa kabisa wala hauna mtu unaye mpenda sana itakuwa vizuri.
Hii ni kazi kazi sio kuja kupaka poda ni msitu kwa msitu kama kweli unaumizwa na hali ya umasikini wa jamii yako huku wengine wakitumbua tu mali.
Nitafute.
NARUDIA TENA VIJANA WALIO JIKANA NAFSI ZAO SIO WATOTO WA MAMA
Binafsi sina ninayempenda,NATIMIZA WAJIBU TU.Hakikisha hauna familia nyuma uliyoaacha ya kuanza kuionea huruma.
Kama utakuwa hujaoa kabisa wala hauna mtu unaye mpenda sana itakuwa vizuri.
Hii ni kazi kazi sio kuja kupaka poda ni msitu kwa msitu kama kweli unaumizwa na hali ya umasikini wa jamii yako huku wengine wakitumbua tu mali.
Nitafute.
NARUDIA TENA VIJANA WALIO JIKANA NAFSI ZAO SIO WATOTO WA MAMA
Za kuambiwa changanya na zakoStory zinakua nyingi sasa
Unawaza tu Israel muda wote hata mahali asipo husika.Vijana jichanganyeni mkabutuliwe na Israel mabomu ya makalio
NdioUnashindwa kutuma ?
Hakuna cha mwisho wake, hapo unatapeliwa tu hata hicho kidogo ulichonacho.Ya Nini yote haya mwisho wake tabu tupu
Weka namba yako hapaNdio
Walete 0756061623Weka namba yako hapa
SimpleKukimbia na mzigo wa kilo 120 gizani ukiwa umeweka kwenye Bega unaweza?