Maisha yamekuwa mwiba mtaani

Maisha yamekuwa mwiba mtaani

Hakikisha hauna familia nyuma uliyoaacha ya kuanza kuionea huruma.

Kama utakuwa hujaoa kabisa wala hauna mtu unaye mpenda sana itakuwa vizuri.

Hii ni kazi kazi sio kuja kupaka poda ni msitu kwa msitu kama kweli unaumizwa na hali ya umasikini wa jamii yako huku wengine wakitumbua tu mali.

Nitafute.

NARUDIA TENA VIJANA WALIO JIKANA NAFSI ZAO SIO WATOTO WA MAMA
Ntawafund silaha mkuu
 
Kitaani sio poa kabisa, vijana wanapigika balaaa,
Hii kitu huwa inaniumiza sana, yaani kuona na, elimu yangu yote, ya uhandisi, bado sijaweza kutengeneza fulsa hata kwa vijana watano tu! Ili wapate ugari wao wa kila siku!
 
Ww ndio mandonga mtu kazi sasa, hebu fungua kituo cha polisi anza na wafungwa wawili na migambo watatu, halafu mwenyewe kuwa mkuu wa kituo….. waambie migambo wavamie vilabu vya pombe wakamate walevi. Wale wanakuwa na wenge la pombe hawawezi kugundua waliowakamata, watajikuta wamefika kituoni, na kutoka lazima watoe pesa…!! Baada ya week funga kituo hamishia mtaa mwingine, ndani ya mwezi ushapata mtaji wa biashara…. Anza kufanya kazi halali sasa!! 🤣🤣🤣🤣
 
Kitaani sio poa kabisa, vijana wanapigika balaaa,
Hii kitu huwa inaniumiza sana, yaani kuona na, elimu yangu yote, ya uhandisi, bado sijaweza kutengeneza fulsa hata kwa vijana watano tu! Ili wapate ugari wao wa kila siku!
Mifumo ya uchumi tuliuwa wenyewe baada ya uhuru
 
Back
Top Bottom