Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Unajilipua sio !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi tuuu lakini jf sio ya kukurupukia japo yapo ya msingi ya kuchukua, wapo watu unakutana nao wanakusaidia, ila tumia akili kubwa kwenye mishe zakoUnahisi tu
Sio kwamba anataka kuwapitisha pori kwa pori kwenda sauzi?Hakuna cha Ukraine hapo mishe itapigwa hapa hapa bongo apate pesa ya kodi...nimewaza tu
Ngoja tungoje mtoa mada ipo siku ataleta mrejeeeSio kwamba anataka kuwapitisha pori kwa pori kwenda sauzi?
UmesomekaNahisi tuuu lakini jf sio ya kukurupukia japo yapo ya msingi ya kuchukua, wapo watu unakutana nao wanakusaidia, ila tumia akili kubwa kwenye mishe zako
Avatar naikodolea macho siielewi vizuri, gender please!Ngoja tungoje mtoa mada ipo siku ataleta mrejeee
Ntawafund silaha mkuuHakikisha hauna familia nyuma uliyoaacha ya kuanza kuionea huruma.
Kama utakuwa hujaoa kabisa wala hauna mtu unaye mpenda sana itakuwa vizuri.
Hii ni kazi kazi sio kuja kupaka poda ni msitu kwa msitu kama kweli unaumizwa na hali ya umasikini wa jamii yako huku wengine wakitumbua tu mali.
Nitafute.
NARUDIA TENA VIJANA WALIO JIKANA NAFSI ZAO SIO WATOTO WA MAMA
Achana na gender mkuu cha muhimu mwandiko wangu unasomekaAvatar naikodolea macho siielewi vizuri, gender please!
Badili mtazamo wapo mafanikio yapo kwenye mazingira yako tuHoja?
Hata kuli sokon na ulinzi mpaka connection,inasikitishaMkuu mbona kazi zipo kibao au unachagua kazi?
Motivational speaker 🔈Badili mtazamo wapo mafanikio yapo kwenye mazingira yako tu
Huwa ni muhimu sana kujua unaongea na gender gani, kama hujapenda kuweka bayana, poa.Achana na gender mkuu cha muhimu mwandiko wangu unasomeka
Hadi wewe uliyemshauri atakuona fala 😂Kuna ishu ya kwenda Lebanon ka uko fresh nikuunganishe ila kifo nje nje ila ukitoboa ndo bhas tena JF utakuwa unachungulia tu huchangii kitu mana wote utawaona mafala
Ni watu muhimuMotivational speaker 🔈
Mifumo ya uchumi tuliuwa wenyewe baada ya uhuruKitaani sio poa kabisa, vijana wanapigika balaaa,
Hii kitu huwa inaniumiza sana, yaani kuona na, elimu yangu yote, ya uhandisi, bado sijaweza kutengeneza fulsa hata kwa vijana watano tu! Ili wapate ugari wao wa kila siku!
Kuna gender fluidHuwa ni muhimu sana kujua unaongea na gender gani, kama hujapenda kuweka bayana, poa.
I see, sijamuelewa kabisa mdau. Halafu hata wewe sikuelewi!Kuna gender fluid