Maisha yangu baada ya miaka 37!

Kama vipi toa ushauri hili Mshana akija akute umeshatema cheche..
Mtu akishaitwa rasmi ili kutoa ushauri, maana yake ushauri wake ndiyo unahitajika zaidi, wengine tunatakiwa tutulize mikwizu kwanza.
 
Mkosi ni huyo mkeo na si ajabu ulimwambia asifanye kazi. Mtoto wa mwisho akifikisha umri flani mwambie afanye biashara au atafute kazi. Mkiweza afanye hata online business.
 
Pia hao watoto 4 wanatosha mkuu,shida sisi wabongo ukiwa huna hela na hamu ya kufanya ngono ndo inazidi. Mwambie mkeo atumie njia za uzazi then muanzie hapo kujikwamua...maana wakikua hao shule zikianza ndo utapagawa.
Kweli kabisa aisee
 
Acha pombe rafiki, pombe haiingizi bali hutoa, na pombe, ukiwa ni myanji wa kila siku hiyo nayo ni kesi kubwa
 
Una 1.3 take home, una maanisha milion na laki tatu au laki na thelasini?
 
aisee, thank you sana mkuu

huu ushauri tuuchue wengi utatuvusha
 
Asante sana

Asante sana kwa ushauri
 
Asante sana kwa ushauri
 
Bro shida ipo kwenye akili yako tu ila we ndo wa kuamua kuishi nayo au kuachana nayo dat all
 
Wadau nashukuru kwa maoni na ushauri. Nitafanyia kazi maeneo yafuatayo; gambe; biashara ya familia; saving; na kujifunga mkanda(kubana matumizi). Nikifika miaka 38 nitaleta Uzi kuona nini kimebadilika. Asanteni sana.
 
Always hela sometime huendana na bahati.
Kwa hiyo hiyo milion 20 huenda ungepeleka kwenye biashara,ingebuma.

Nakushauri kwa jinsi navokuana ulivoanza kupanick na stress,ukianzisha biashara huenda ikabuma.

Nakushauri tafuta eneo anza ujenzi taratibu,hata kama utaambiwa unazika pesa fresh tu,as long unaona hela imeenda wapi.Kichwa kikitulia ndo uanze na biashara taratibu

Mimi ni wale waumini wa kuwekeza kwenye ardhi,nimeona faida nyingi sana japo nilianzisha na biashara huku nikiendelea na kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…