Maisha yangu baada ya miaka 37!

Kwanza kanisani huendi unadhulumu Hela za zaka na michango kede unaenda kulewea🤣, na bado unalalama kuwa Hela huoni. Aisee tunaenda kanisani maisha magumu na bado Kuna sadaka, zaka, harambee, shukrani, na michango ya wahitaji ambayo hulipi. .

1. Kwanza kabisa acha kumdhulumu padri unataka akale wapi?
2 Pili jitahidi kupunguza gharama angalia matumizi yasiyo ya lazima, achana nayo
3. Mtafutie mama watoto wako Kaz ambayo anaweza Fanya hata akiwa nyumbani hata kuuza viungo vya chai na pilau
4. Fanya uzazi wa mpango ikiwezekama usipate mtoto mwingine kwa sasa. Fanya Vasectomy ( fungal mirija ya pumbu usitoe mbegu)
5. Jenga amani na furaha sana na mkeo achana na watu wa dunia. Huyo anakuvumilia mengi hujui tu. .

Mwisho kabisa hata mie Niko kwenye ndoa aisee ndoa tamu ukipuuzia mambo. Ukiwaza Kila Jambo utaumwa mda mwingine tunaweza chemsha mahindi Huku tunapigana denda siku inaisha😊

Kumbuka miaka mia toka sasa utakuwa umekufa utaona Kuna mambo hayana msingi. Acha kulewea na marafiki Kaa karibu na mkeo. .
 
Panga budget kwa Kila mwezi ya matumizi ya nyumbani

Track expenses zote usitumie kitu bila kuandika mwisho wa mwezi kuja kuangalia utajikuta umetumia Hela nyingi kwenye matumizi yasiyo ya lazima uanze kuyapunguza hayo matumizi yasiyo ya lazima

Weka malengo yagawe kwa vipindi vifupi then yawekee deadline

Weka akiba Kila mwezi Kwa ajili ya kufanikisha malengo ni kosa kubwa kutumia Hela yote unayopata mwisho wa mwezi

Mfungulie mke wako biashara msaidiane humo ndani Tena ikiwezekana hii ndo uanze nayo
 

Ushauri murua sana huu
 
Tatizo lako lipo hapa

ID yako ni Kufa Kuzikana, kwa nini umechagua ili neno. Wakati Mwingine majina yanabeba siri katika maisha yetu.

Unahitaji Ukombozi wa kufunguliwa so tafuta Mchungaji wa kweli upate kufunguliwa. Inawezekana umeunganishwa unachokipanga kinajulikana wanakuja kuharibu mipango yako.
 
Huna mkosi wowote, mchawi hapo ninahisi ni hiyo namba nane hapo. Pombe, Pombe, Pombe, Pombe....

Acha pombe ndugu yangu, baada ya miaka mitatu tu, utakuja hapa kunishukuru.
 
Mkuu, wewe ni mlevi na kodi ya Nyumba laki tatu kwa mwezi, kisha hujui pesa inaenda wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…