Aise acha tu Nina kameza Cha coffee nimenunua mlimani city laki sita kila nikiiona nakumbuka mkopo ulivyoisha kilofa hebu acha tu. Hapo nikanunua Tecno phantom ilikua laki sita. Tayari 1.2. just imagine vurugu ngapi nimefanya. Milioni 20 ukiwa huna displine ni km HamnaKufakuzikana naona unatuzuga tu wewe. 20M inaishaje usinunue hata kiwanmja Kerege enzi hizo milioni tatu tu.
Sio rahisi kuipata kwa sisi wavuja jashoIpate tuone....
Namba 4 namba 8 na namba 9 ndio matatizo yako. 1.3m ni mzigo mrefu. Sema una watoto wengi na Mungu humkumbukiHabari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.
1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.
2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.
3. Naishi Dar es Salaam.
4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.
5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.
6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.
7. Wife Hana kazi Hana biashara.
8. Nakunywa pombe mara kwa mara.
9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc
10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....
Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Kwa upande wake amekua mke mzuri kwa maoni yangu japo analalamika sana kuhusu hali yetu. Ahadi ya kufungua biashara ya familia imekua topic kila leo...Inategemea na mke aliyeoa. Ukikosea tu hapo umeliwa.
Kuna mwanamke unaoa utadhani umeoa mlemavu. Haiishi kuumwa umwa na hii ni tabia ya mtu mvivu.
Ni lazima akulaumu maama muda umeenda sana haonj future kwako.Kwa upande wake amekua mke mzuri kwa maoni yangu japo analalamika sana kuhusu hali yetu. Ahadi ya kufungua biashara ya familia imekua topic kila leo...
Suala la pombe nahisi ni kikwazo kweli. Sema kuacha napo ni mtihani. Nitaangalia labda ninue pombe niweke ndani km sehemu ya mahitaji ya mwisho wa mwezi.Namba 4 namba 8 na namba 9 ndio matatizo yako. 1.3m ni mzigo mrefu. Sema una watoto wengi na Mungu humkumbuki
Miaka hiyo 2012 mtu wa salalry ya 1.3M ilikuwa pesa yenye thamani kubwaHabari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.
1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.
2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.
3. Naishi Dar es Salaam.
4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.
5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.
6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.
7. Wife Hana kazi Hana biashara.
8. Nakunywa pombe mara kwa mara.
9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc
10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....
Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
OkayHaikuwa hivyo ilipanda panda sana Enzi za JK. 1.3 ni status ya Sasa hivi.
Au mkuu pesa zakoulisomesha wadogo zako na ndugu? Kama no hivyo usijilaumu ni mafanikio piaHabari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.
1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.
2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.
3. Naishi Dar es Salaam.
4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.
5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.
6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.
7. Wife Hana kazi Hana biashara.
8. Nakunywa pombe mara kwa mara.
9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc
10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....
Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Lazoma uchanganyikiweUmebakisha miaka 23 tu ustaafu! Na bado hauna kiwanja wala nyumba na bado familia kubwa huku unasomesha na una mkopo wa miaka 5
Jamaa anatuuzia chai kweliNahisi ni chai unatudanganya
Unachangamsha kijiwe..
Nimekisoma kitabu kinaitwa the richest man in Babylon. Sasa shida utekelezaji
Uko sahihi mkuu,mke yupo kukaa Tu kmaa msafiri hajui lolote , wanawake wanamna hii hata Sisi tunao nishida ningumu Kwamwanume kuwaza kila kitu ndani ya nyumba ikiwa mke KAZI yake nikutaja Tu Kua hiki kimeisha babaflani mara kile hakipo mara tunakula NN Baba mwaflani ,mizigo mzito mno.Mafanikio ya mwanaume yanakuja kama mwanamke alonae ana akili na anaweza kuyabeba matatizo tofauti na hvo hauna mke una kiburudisho tu