Maisha yangu baada ya miaka 37!

Maisha yangu baada ya miaka 37!

Kufakuzikana naona unatuzuga tu wewe. 20M inaishaje usinunue hata kiwanmja Kerege enzi hizo milioni tatu tu.
Aise acha tu Nina kameza Cha coffee nimenunua mlimani city laki sita kila nikiiona nakumbuka mkopo ulivyoisha kilofa hebu acha tu. Hapo nikanunua Tecno phantom ilikua laki sita. Tayari 1.2. just imagine vurugu ngapi nimefanya. Milioni 20 ukiwa huna displine ni km Hamna
 
Na kwanini usiache hizo pombe unazokunywa?

Mungu akikupa uzima una chini ya miaka ishirini hapo kazini huo umri ulio nao na una watoto wanne nyumba ya kupanga umeshawahi kuwaza utastaafu ukiwa ktk mazingira gani?mnathubutuje kufanya makosa yaliyo wazi kiasi hiki ktk maisha yenu?

Utasomesha saa ngapi utejenga saa ngapi starehe utafanya saa ngapi kaa chini waza maisha yako “yatakuwaje miaka 30 ijayo mbele” acha kuwaza leo waza zaidi ya kesho.
 
Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Namba 4 namba 8 na namba 9 ndio matatizo yako. 1.3m ni mzigo mrefu. Sema una watoto wengi na Mungu humkumbuki
 
Inategemea na mke aliyeoa. Ukikosea tu hapo umeliwa.

Kuna mwanamke unaoa utadhani umeoa mlemavu. Haiishi kuumwa umwa na hii ni tabia ya mtu mvivu.
Kwa upande wake amekua mke mzuri kwa maoni yangu japo analalamika sana kuhusu hali yetu. Ahadi ya kufungua biashara ya familia imekua topic kila leo...
 
Mkuu pole na nina haya ya kukushauri:-

1. Acha kujilinganisha na watu wengine
2. Punguza pombe kiasi then ujipime
3. Mfungulie mkeo mradi ata mdogo
4. Sali sana sio lazima uende kanisani pia

Pigana vita vyako taratibu. Ila bro ulijichanganya kutokufuata uzazi wa mpango ila sio kesi wengine watajifunza hapa.

Pole sana.
 
Namba 4 namba 8 na namba 9 ndio matatizo yako. 1.3m ni mzigo mrefu. Sema una watoto wengi na Mungu humkumbuki
Suala la pombe nahisi ni kikwazo kweli. Sema kuacha napo ni mtihani. Nitaangalia labda ninue pombe niweke ndani km sehemu ya mahitaji ya mwisho wa mwezi.
 
Mi
Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Miaka hiyo 2012 mtu wa salalry ya 1.3M ilikuwa pesa yenye thamani kubwa
 
Au mk
Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Au mkuu pesa zakoulisomesha wadogo zako na ndugu? Kama no hivyo usijilaumu ni mafanikio pia
 
Mafanikio ya mwanaume yanakuja kama mwanamke alonae ana akili na anaweza kuyabeba matatizo tofauti na hvo hauna mke una kiburudisho tu
Uko sahihi mkuu,mke yupo kukaa Tu kmaa msafiri hajui lolote , wanawake wanamna hii hata Sisi tunao nishida ningumu Kwamwanume kuwaza kila kitu ndani ya nyumba ikiwa mke KAZI yake nikutaja Tu Kua hiki kimeisha babaflani mara kile hakipo mara tunakula NN Baba mwaflani ,mizigo mzito mno.
 
Aisee!Kuna watu mna utani maishani.Take home ni 1.3m.Mkopo 36m.Ukabakiwa na 20 ms!Na bado hauna kiwanja wala "kipando"/gari la kukupunguzia uchovu wa kutembea.Weye jamaa una kipato kikubwa mnoo ila kuna shida katika bajeti yako.Haujachelewa kwa miaka 37.Tuliza akili na uchukue mawazo ya wakuu wa JF.Yafanyie kazi na hakika utafaulu.Kuna watu nikikueleza take home zao utalia kwa kuwaonea huruma.Mikopo yao ni midogo mnoo na wamejenga,wanasomesha na maisha yanasonga.Haujalogwa.Huna mipango tu.
 
Back
Top Bottom