Maisha yangu baada ya miaka 37!

Maisha yangu baada ya miaka 37!

1.3m hauwezi kuwa na maendeleo kwa mshahara.

Umechezea mkopo ,hauwezi kuitapakanya yote 36m , ilikuaje ukalipa loan board pesa yote hiyo kwa pamoja?
 
Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Nenda kimara Temboni ukakanyage madhabahu kwa mwalimu Mussa Richard Mwacha
 
Kila mtu na namna anaona vitu…


Me nakula milo yote, sijibahilii kwenye kula. Nafsi ikitamamani kitu flani naipa..
kuna mdada mmoja akajaga niambia nina matumizi mabaya kwenye msosi.
Note;tukumbuke tunajadili kitu ambacho kimeonekana tayari ni tatizo!!!

Member mwenzetu hapa yumkini anawaza kama wewe unavyosema hapo juu kwenye bold,but hadi tunaandika hapa yeye ana watoto wanne kamoja kachanga wakubwa wakienda shule na yupo banda la kupanga ”unadhani huyu hahitaji kujibahili?”,ktk situation kama hii hiyo kauli yako hapo juu unaona bado iki-apply kwenye maisha ya mtu?
 
Note;tukumbuke tunajadili kitu ambacho kimeonekana tayari ni tatizo!!!

Member mwenzetu hapa yumkini anawaza kama wewe unavyosema hapo juu kwenye bold,but hadi tunaandika hapa yeye ana watoto wanne kamoja kachanga wakubwa wakienda shule na yupo banda la kupanga ”unadhani huyu hahitaji kujibahili?”,ktk situation kama hii hiyo kauli yako hapo juu unaona bado iki-apply kwenye maisha ya mtu?
Kweli
 
Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Acha utoto binti zako wasije pigwa chuma mboga ukubwani
 
Usiseme hivyo mzee..Mimi nimeshudia kuna mshikaji kakopa 30m na hakuna kitu amefanya..ni si mara yake ya kwanza kukopaa..tabia ya pesa usipoiheshimu ukaichukulia poaa..itakushangazaa
Jambo lolote kwenye maishs ukilichukulia poa hata kama ni jepesi basi litakushinda.

Jamaa alikuwa analipa Mbususu😅😅
 
Usiseme hivyo mzee..Mimi nimeshudia kuna mshikaji kakopa 30m na hakuna kitu amefanya..ni si mara yake ya kwanza kukopaa..tabia ya pesa usipoiheshimu ukaichukulia poaa..itakushangazaa
Nakubaliana.
 
Kwanza kanisani huendi unadhulumu Hela za zaka na michango kede unaenda kulewea[emoji1787], na bado unalalama kuwa Hela huoni. Aisee tunaenda kanisani maisha magumu na bado Kuna sadaka, zaka, harambee, shukrani, na michango ya wahitaji ambayo hulipi. .

1. Kwanza kabisa acha kumdhulumu padri unataka akale wapi?
2 Pili jitahidi kupunguza gharama angalia matumizi yasiyo ya lazima, achana nayo
3. Mtafutie mama watoto wako Kaz ambayo anaweza Fanya hata akiwa nyumbani hata kuuza viungo vya chai na pilau
4. Fanya uzazi wa mpango ikiwezekama usipate mtoto mwingine kwa sasa. Fanya Vasectomy ( fungal mirija ya pumbu usitoe mbegu)
5. Jenga amani na furaha sana na mkeo achana na watu wa dunia. Huyo anakuvumilia mengi hujui tu. .

Mwisho kabisa hata mie Niko kwenye ndoa aisee ndoa tamu ukipuuzia mambo. Ukiwaza Kila Jambo utaumwa mda mwingine tunaweza chemsha mahindi Huku tunapigana denda siku inaisha[emoji4]

Kumbuka miaka mia toka sasa utakuwa umekufa utaona Kuna mambo hayana msingi. Acha kulewea na marafiki Kaa karibu na mkeo. .
Hapo namba 4 imebidi niKomenti...akifanya hiyo ishu ina maana hatazalisha tena. Hiyo ni njia ya kudumu ya uzazi wa mpango kwa mwanaume...hatazalisha tena.
 
Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Mkuu pole sana, Mrudie Mungu, anza kwenda kanisani, umpe Mungu maisha yako na vifungo vyote vitafunguka.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Ndio kanisa langu naposali kila jumapili. Na bia huwa nakunywa kwa mwarabu ama kwa shirima hapo gereji
Haha haikosi tutaonana tu ngoja jumapili moja nitimbe hapo church
 
Uko sahihi mkuu,mke yupo kukaa Tu kmaa msafiri hajui lolote , wanawake wanamna hii hata Sisi tunao nishida ningumu Kwamwanume kuwaza kila kitu ndani ya nyumba ikiwa mke KAZI yake nikutaja Tu Kua hiki kimeisha babaflani mara kile hakipo mara tunakula NN Baba mwaflani ,mizigo mzito mno.
Yani kwa stail hyo hata jenga walah
 
Mimi sioni kama una mkosi, mchawi ni matumizi yako(simaanisha unatumia pesa hovyo).
unatumia pesa bila kuacha kumbukumbu.

Hiyo 1.3mil ni pesa ndogo sana, lakini pia ni nyingi kiasi.( Inategemeana na unavyowaza)

Chakukushauri, kwanza weka mipango yako kwenye karatasi, then iweke kichwani.

Baada ya hapo kila tumizi unalofanya weka kumbukumbu.
Matumizi yapange kwa umuhimu.
Hii inahitaji discpiline, sio mchezo.


Ikiwezekana tafuta SideJob.

Na mwisho lakini si kwa umuhimu mkumbuke Muumba.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo namba 4 imebidi niKomenti...akifanya hiyo ishu ina maana hatazalisha tena. Hiyo ni njia ya kudumu ya uzazi wa mpango kwa mwanaume...hatazalisha tena.
Hapana kwenye vasectomy wanafungua tu inaweza kuwa reversible ukazalisha. Wanafungua kwa mda ukitaka kuzalisha wanafungua. .
 
Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vitake home 1.3m pesa ndefu sana

Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Take home 1.3m ni pesa ndefu,Acha pombe,Achana na kampani za ajabu ajabu,Rudi kwa Mungu

Tuliza akili,plan mipango yako
Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.

1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.

2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.

3. Naishi Dar es Salaam.

4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.

5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.

6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.

7. Wife Hana kazi Hana biashara.

8. Nakunywa pombe mara kwa mara.

9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc

10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....

Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Take-home 1.3 pesa ndefu,Acha pombe,Achana na kampani za ajabu ajabu.
Panga mipango yako
 
Back
Top Bottom