King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Nenda kimara Temboni ukakanyage madhabahu kwa mwalimu Mussa Richard MwachaHabari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.
1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.
2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.
3. Naishi Dar es Salaam.
4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.
5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.
6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.
7. Wife Hana kazi Hana biashara.
8. Nakunywa pombe mara kwa mara.
9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc
10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....
Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Mbona jf mtu akija na story yake wengi wanahisi ni chai nipo hapo mabibo external mje mniangalie basi🤣
Note;tukumbuke tunajadili kitu ambacho kimeonekana tayari ni tatizo!!!Kila mtu na namna anaona vitu…
Me nakula milo yote, sijibahilii kwenye kula. Nafsi ikitamamani kitu flani naipa.. kuna mdada mmoja akajaga niambia nina matumizi mabaya kwenye msosi.
Usiseme hivyo mzee..Mimi nimeshudia kuna mshikaji kakopa 30m na hakuna kitu amefanya..ni si mara yake ya kwanza kukopaa..tabia ya pesa usipoiheshimu ukaichukulia poaa..itakushangazaaKufakuzikana naona unatuzuga tu wewe. 20M inaishaje usinunue hata kiwanmja Kerege enzi hizo milioni tatu tu.
😅😅😅tatizo uhalisia kakaMbona jf mtu akija na story yake wengi wanahisi ni chai nipo hapo mabibo external mje mniangalie basi🤣
KweliNote;tukumbuke tunajadili kitu ambacho kimeonekana tayari ni tatizo!!!
Member mwenzetu hapa yumkini anawaza kama wewe unavyosema hapo juu kwenye bold,but hadi tunaandika hapa yeye ana watoto wanne kamoja kachanga wakubwa wakienda shule na yupo banda la kupanga ”unadhani huyu hahitaji kujibahili?”,ktk situation kama hii hiyo kauli yako hapo juu unaona bado iki-apply kwenye maisha ya mtu?
Acha utoto binti zako wasije pigwa chuma mboga ukubwaniHabari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.
1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.
2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.
3. Naishi Dar es Salaam.
4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.
5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.
6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.
7. Wife Hana kazi Hana biashara.
8. Nakunywa pombe mara kwa mara.
9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc
10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....
Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Jambo lolote kwenye maishs ukilichukulia poa hata kama ni jepesi basi litakushinda.Usiseme hivyo mzee..Mimi nimeshudia kuna mshikaji kakopa 30m na hakuna kitu amefanya..ni si mara yake ya kwanza kukopaa..tabia ya pesa usipoiheshimu ukaichukulia poaa..itakushangazaa
Hapo namba 4 imebidi niKomenti...akifanya hiyo ishu ina maana hatazalisha tena. Hiyo ni njia ya kudumu ya uzazi wa mpango kwa mwanaume...hatazalisha tena.Kwanza kanisani huendi unadhulumu Hela za zaka na michango kede unaenda kulewea[emoji1787], na bado unalalama kuwa Hela huoni. Aisee tunaenda kanisani maisha magumu na bado Kuna sadaka, zaka, harambee, shukrani, na michango ya wahitaji ambayo hulipi. .
1. Kwanza kabisa acha kumdhulumu padri unataka akale wapi?
2 Pili jitahidi kupunguza gharama angalia matumizi yasiyo ya lazima, achana nayo
3. Mtafutie mama watoto wako Kaz ambayo anaweza Fanya hata akiwa nyumbani hata kuuza viungo vya chai na pilau
4. Fanya uzazi wa mpango ikiwezekama usipate mtoto mwingine kwa sasa. Fanya Vasectomy ( fungal mirija ya pumbu usitoe mbegu)
5. Jenga amani na furaha sana na mkeo achana na watu wa dunia. Huyo anakuvumilia mengi hujui tu. .
Mwisho kabisa hata mie Niko kwenye ndoa aisee ndoa tamu ukipuuzia mambo. Ukiwaza Kila Jambo utaumwa mda mwingine tunaweza chemsha mahindi Huku tunapigana denda siku inaisha[emoji4]
Kumbuka miaka mia toka sasa utakuwa umekufa utaona Kuna mambo hayana msingi. Acha kulewea na marafiki Kaa karibu na mkeo. .
Mkuu pole sana, Mrudie Mungu, anza kwenda kanisani, umpe Mungu maisha yako na vifungo vyote vitafunguka.Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.
1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.
2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.
3. Naishi Dar es Salaam.
4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.
5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.
6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.
7. Wife Hana kazi Hana biashara.
8. Nakunywa pombe mara kwa mara.
9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc
10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....
Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Tukutane karibu na hilo kanisa la KKKT la makuburi
Yani kwa stail hyo hata jenga walahUko sahihi mkuu,mke yupo kukaa Tu kmaa msafiri hajui lolote , wanawake wanamna hii hata Sisi tunao nishida ningumu Kwamwanume kuwaza kila kitu ndani ya nyumba ikiwa mke KAZI yake nikutaja Tu Kua hiki kimeisha babaflani mara kile hakipo mara tunakula NN Baba mwaflani ,mizigo mzito mno.
Hapana kwenye vasectomy wanafungua tu inaweza kuwa reversible ukazalisha. Wanafungua kwa mda ukitaka kuzalisha wanafungua. .Hapo namba 4 imebidi niKomenti...akifanya hiyo ishu ina maana hatazalisha tena. Hiyo ni njia ya kudumu ya uzazi wa mpango kwa mwanaume...hatazalisha tena.
Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.
1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.
2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.
3. Naishi Dar es Salaam.
4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.
5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.
6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.
7. Wife Hana kazi Hana biashara.
8. Nakunywa pombe mara kwa mara.
9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc
10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....
Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vitake home 1.3m pesa ndefu sana
Take home 1.3m ni pesa ndefu,Acha pombe,Achana na kampani za ajabu ajabu,Rudi kwa MunguHabari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.
1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.
2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.
3. Naishi Dar es Salaam.
4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.
5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.
6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.
7. Wife Hana kazi Hana biashara.
8. Nakunywa pombe mara kwa mara.
9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc
10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....
Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Take-home 1.3 pesa ndefu,Acha pombe,Achana na kampani za ajabu ajabu.Habari.
Nina miaka 37. Sifurahii maisha katika umri huu. Kama Kuna mtu anaweza kutoa ushauri wa kunikomboa asisite...Mshana Jr etc. Mtiririko wa matukio ni kama ufuatavyo.
1. Ninafanya kazi serikalini mshahara take home ni 1.3m. hapo Nina mkopo wa miaka 5 NMB.
2. Kazi nimeanza tangu 2012. Hivyo Nina miaka 9+ kazini.
3. Naishi Dar es Salaam.
4. Nina mke na watoto wanne. Mtoto wa nne bado ni kichanga.
5. Tangu nianze kazi sijui pesa zangu zinapoenda. Sina kiwanja Sina akiba. Bado nimepanga Kodi laki tatu kwa mwezi.
6. Mahusiano yangu na wife sio mazuri sana kwa sababu ya ugumu wa maisha. Lakini bado tunasonga.
7. Wife Hana kazi Hana biashara.
8. Nakunywa pombe mara kwa mara.
9. Siendi kanisani kabisa ila kwa matukio maalum mfano ndoa, ubatizo wa mtoto, etc
10. Sina gari. Nilioanza nao kazi Wana nyumba kubwa na magari mawili. Moja la wife....
Nahisi Nina mkosi nifanye nini? Yapo mengi kuonesha hasara ninayoihisi. Kazini napata marupurupu ya hapa na pale. Ila najiona sitoboi. Wadogo zangu wenye mshahara wa laki Tano wametoboa mi nipo nipo tu mpka mama yangu amekata tamaa. Faraja yangu iliyobaki ni Binti zangu ambao hawaelewi chochote kwenye hii Dunia ya vita.
Sikushangai kuna jamaa alikopa milioni 16,alikuja kushtuka ana laki tatu tu,hana alilofanya 😆😆Kwa nini? Milioni 20 au hata 30 usiposhtuka zinaisha ukishangaa.. tena ukiwa hujafanya kitu chochote.