Maisha yangu, ushuhuda wangu; Sijafika sijachoka usikate tamaa Mungu yupo.

Maisha yangu, ushuhuda wangu; Sijafika sijachoka usikate tamaa Mungu yupo.

Yaani una smartphone .....

Una laptop


Unaweza kununua bando ...

Harafu unasema maisha yamekuchapa...


Acha kudanganya watu mkuu ,Wewe ni miongoni mwa matajiri hapa Tanzania....

Hujakutana na watu waliopinda...
So, unataka kusema Umaskini unaanzia kwa kutokuwa na simu janja na tarakshi na ukiwa na hivyo si maskini?.
 
Njia rahisi ya kuondokana na umasikini kwa mtu asiye na kipato.
Ardhi still bado ndio mtaji rahisi wa kutokea kimaisha.
Nje ya mji mapori tele yamejaa hata bure au kukodi unaweza pata safisha angalau si chini ya heka 10,panda mazao yasiyo na changamoto mfano kunde, alizeti, mtama, nk.
Chukua zao moja hili ni uhakika.
Baada ya kusafisha heka 10 au zaidi panda mmea wa nyonyo castro oil huu unavuna baada ya miezi 3 na utaendelea kuvuna kwa mda wa miaka 2.
Heka moja ya nyonyo utapata gunia 15 ukizikamua utapata lita 500 za mafuta, so heka 10 ni lita elf 5.
Jifunze kutengeneza sabuni za mche za mawingu
Lita moja ya mafuta utapata miche 2 mara lita elf 5 utapata miche elf 10.
Uza mche kwa sh 1500 mara elf 10 utapata milioni 15.
Jinsi ya kutengeneza mashine ya kukamua mbegu za mafuta tafuta bomba inchi nne tafuta Nondo mm 12 ikunje mfano wa spring ingiza ndani ya bomba mbele ya bomba ziba acha tundu dogo.Toboa toboa Bomba vitundu vidogo Ili mafuta yamwagike chini, weka mshikio wa kunyongea Ili ukamue mafuta.
Ukipata pesa kodi nyumba nenda viwandani kafunge bidhaa ambazo ni daily use kisha jaza kwenye nyumba uliyokodi kisha uwe tengeneza network na wauzaji wa dogo uwe unawasambazia bidhaa wanazoishiwa.
Kwa kufanya hivi ndani ya mwaka utakua mbali sana utaoa, utajenga, nk.
 
So, unataka kusema Umaskini unaanzia kwa kutokuwa na simu janja na tarakshi na ukiwa na hivyo si maskini?.
Mimi nasema hivi huyo anapitia tu kipindi ambacho wengi tunapitia ,Hajapata kazi nzuri au biashara nzuri ila swala la kusema kuwa ni maskini ni big no ,maskini gani ana laptop ,ana smartphone ....nenda kijinin uone maskini walivo ,simu tu ni nokia ya tochi iliyofungwa na barabend ,simu haikai na chaji ...hajui kinachoendelea duniani hata jf haijui ....

Huyu jamaa Hana maisha magumu kama anavosema hapa huyo anaunafuu wa maisha kabisa [emoji28][emoji28]
 
Tafuta maarifa yapo mawazo zaidi ya elf kwenye mitandao jinsi ya kujinasua na umasikini. Hadi sasa Hakuna tatizo jipya duniani. Watu wanao uzoefu mbalimbali jinsi walivyojinasua
 
Elezea kidogo maisha Yako ya chuo, unadhani ungerudishwa chuo ungefanya kitu gani Cha kujiandaa na maisha baada ya chuo?
 
Mkuu pole sana

Si uende hapo kariakoo kutana na wakinga wenzio waambie ukweli watakupa hata kibarua chchote huku ukiendelea kusoma mchezo

Usijaribu kurudi kwenu mwakavuta utaishia kunywa ulanzi tu
 
Mimi nasema hivi huyo anapitia tu kipindi ambacho wengi tunapitia ,Hajapata kazi nzuri au biashara nzuri ila swala la kusema kuwa ni maskini ni big no ,maskini gani ana laptop ,ana smartphone ....nenda kijinin uone maskini walivo ,simu tu ni nokia ya tochi iliyofungwa na barabend ,simu haikai na chaji ...hajui kinachoendelea duniani hata jf haijui ....

Huyu jamaa Hana maisha magumu kama anavosema hapa huyo anaunafuu wa maisha kabisa [emoji28][emoji28]

Duh.ndiyo umeongeza kunichanganya kabisa!!.

SAWA
 
Ni wengi tunapitia khari hiyo tuzidi kumwomba Mungu tu nae atatuvusha salama
 
Njia rahisi ya kuondokana na umasikini kwa mtu asiye na kipato.
Ardhi still bado ndio mtaji rahisi wa kutokea kimaisha.
Nje ya mji mapori tele yamejaa hata bure au kukodi unaweza pata safisha angalau si chini ya heka 10,panda mazao yasiyo na changamoto mfano kunde, alizeti, mtama, nk.
Chukua zao moja hili ni uhakika.
Baada ya kusafisha heka 10 au zaidi panda mmea wa nyonyo castro oil huu unavuna baada ya miezi 3 na utaendelea kuvuna kwa mda wa miaka 2.
Heka moja ya nyonyo utapata gunia 15 ukizikamua utapata lita 500 za mafuta, so heka 10 ni lita elf 5.
Jifunze kutengeneza sabuni za mche za mawingu
Lita moja ya mafuta utapata miche 2 mara lita elf 5 utapata miche elf 10.
Uza mche kwa sh 1500 mara elf 10 utapata milioni 15.
Jinsi ya kutengeneza mashine ya kukamua mbegu za mafuta tafuta bomba inchi nne tafuta Nondo mm 12 ikunje mfano wa spring ingiza ndani ya bomba mbele ya bomba ziba acha tundu dogo.Toboa toboa Bomba vitundu vidogo Ili mafuta yamwagike chini, weka mshikio wa kunyongea Ili ukamue mafuta.
Ukipata pesa kodi nyumba nenda viwandani kafunge bidhaa ambazo ni daily use kisha jaza kwenye nyumba uliyokodi kisha uwe tengeneza network na wauzaji wa dogo uwe unawasambazia bidhaa wanazoishiwa.
Kwa kufanya hivi ndani ya mwaka utakua mbali sana utaoa, utajenga, nk.
mkuu umeongea kirahis Sana dizain ya motivational speaker

Nilianza na unyoya Sasa Nina kuku 1200

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Yaani una smartphone .....

Una laptop


Unaweza kununua bando ...

Harafu unasema maisha yamekuchapa...


Acha kudanganya watu mkuu ,Wewe ni miongoni mwa matajiri hapa Tanzania....

Hujakutana na watu waliopinda...
 
Wengi awajui Siri kubwa ya kufanikiwa katika maisha ipo kwenye kutoa, hii Siri wanaijua weupe. Weusi ni masikini sababu awatoi.
Ukiona umekwama kwenye maisha toa. Kutoa ni ibada ni kitendo cha kuondoa uchafu kwenye mtaro umeziba Ili maji yapite safisha mtaro wako Ili upate maji.
Mafanikio yote ya mwanadamu uanzia kwenye ulimwengu wa roho kukwama means huna connection na positive energy Kati yako na positive energy kuna kizuizi kitoe hicho kizuizi kama ujaona mabaraka yakimwagika kwako huku KILA kitu kikienda. Pili changamoto ndio pesa yenyewe Katu ukipata changamoto usiache na kuanzisha kingine Pambana nazo jifunze kupitia changamoto ukizishinda tu mafanikio ni mteremko.
 
Umasikini ni ukosefu wa maarifa kuhusu mazingira yanayokuzunguka Ili uone fursa uzibadili kuwa pesa.
 
Back
Top Bottom