Maisha yangu Uswahilini Uwanja wa Fisi/Manzese kwa miaka 20

Wacha kumzushia mzee wa watu.
 
Story tamu sana hii
 
Meridian toka Rombo sio?
waanzilishi wa madanguro dar manzese faya myamani ni mayema na wahaya enzi hizo kuchovia mpaka uwe na hela,zama zimebadilika kila kabila wanawake baadhi yao wameona hicho ndio kitega uchumi chao tatizo wnawake waleo hata aongwe pesa zote wanaishia kunya pombe kuvaa kuhoga wanakufa maikini na ukimwi
 
Wazeee hivi haps moshi wahaya wanapatikana wapi. Wakiwa na vigheto vyao , maana nimemiss kula mbususu aseeeee
 
Hizi stori za kulengeshwa kwa wanyama nimezisikia sana migodini(kanda ya ziwa)

m sinaga ujasiri wa kununua malaya yaani nimeshindwa
Inategemea neno malaya lina maana gani kwako. Ukienda bar ukanywa ukachukuwa demu ukaenda naye ukapiga huo usiku umechukuwa malaya. Ukiwa na mwanamke amaye mapenzi yenu yako based kwenye exchange ya kupewa exclusive au non-exclusive rights na yeye anaqpata monetary favors hapo wewe una malaya. Mwanamke ambaye si malaya ni yule uliye naye mahusiano ya kimapenzi na mapenzi yenu haytegemei uwezo wako wa kumhudumia kuchumi. Haqya yanaitwa mapenzi, na hata wewe kuna siku kiuchumi ukatetereka akakusaidia. Lakini exchange ya mbususu na vitu vyote vyenye monetary value hakuna tofauti kwenda danguroni, sema tu danguroni aibu wakikukuona loakini kumbuka kama wewe ni mchumi you save a lot when you buy in a store like Walmat compared to buying from an exclusive store serving celebrities and rich people. Just imagine buying mbususu for 70/80 million shillings compared to paying 5,00 to 10,000 per visit. One million you get any where fromm 100 to 200 visits and no attachments!
 
Umesema kweli.
 
Duh kweli we ndo mwenyewe mitaa ile...ni kweli hata mimi babu yangu ndo ilikuwa mitaa yake ya kunywa pombe na nyama zisizoeleweka.....tulikuwa tunaishi ajentina pale jirani na jego gesti
Nina siku nyingi sijafika huko. Argentina ninayoikumbuka ilikuwa Manzese Morogoro Road. Inawezekana ni mpya. Mara yangu ya mwisho uwanja wa fisi ilikuwa 1994, sasa hivi sijui imekaaje.
 
Wewe nitakuja pm nikupe jina la huyo anayechukuaga Malaya watatu kwa mpigo. Ni MTU mzima na hupenda kuvaa kizalendo zaidi lakini kingono Hana chembe ya uzalendo.
Uzalendo kingono ukoje?
 
Enzi zetu, ukisafiri mkoani unaagiza utafutiwe. Unaanzia ofini kama wapo singles watakaokubali. Au unatafutiwa sehemu nyingine mkoani. Kama wewe ni mtu wa kusafiri unakuwa na mtu kwenye ofisi mikoani unayemuaminbi hatafujisha nyenendono zako. Huyo ndiyo anakutafutia totos za uhakika. Ni aibu mtu mwenye nafasi yako kwenda kutafuta wauza bar ambao wakikuliza hutajua pa kuanzia!
 
Adam malima
Malima siyo mtu wa Kanda ya Ziwa. Malima ni mzaramo pyuwa (pure). Ingawaje Malima ni jina common Mrar (Majita), lakini Adam ni Mzaramo nadhani wa Manerumango.
 
Malizia huu uzi mkuu. Nashauri uwe unaweka muendelezo hapa juu ili iwe rahisi kuusoma.
 
Asante kwa ramani hii ya kivita mkuu....nimekupata.
 
Nikija dar itabidi niende kuwasalimia tena lambo panabamba sana
Mkuu usiache kufika na pale Kitambaa cheupe.
Pia kama hutaki jam sana za huko mjini kati basi unaweza kushuka stand ya Magu wanaita Mbezi then kuna chimbo inaitwa kwa Godi pale kuna mbususu nyingi za kutoka mikoani halafu watoto wabichi kabisa tena bei zao ni elekezi.
 
Dah..nimecheka sana hapo kwenye suala la nyama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Million wanaita mlio unaweza kuwa milio 2 au mitatu na kuendelea Generation Z
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…