Wanasalia ndani, je saudia kuna kanisa? Kama hujui marekan ilikuwa inaongozwa kikristo baadaye wakaweka secular but now wanataka kurudi kikristo zaidi si unakumbuka trump alivyopiga marufuku din nyingine na alisemaje?? Watu wanaoingia marekan waheshimu tamaduni zao na wajue usa ni christians states na hata rais anaamuliwa na kanisa ukitaka habari hii ingia youtube tafuta dira ya dunia bbc swahili waliielezea vizuri kuhusu marekan ilikuwa mwaka juzi november tatizo hamchunguziUmetumia kijiti au? Uislam hautakiwi marekani, je huko marekani hakuna msikiti?
Tusiende mbali hata angola tu walivunja msikiti na wakaweka wazi wao nchi yao ni ya kikristo na nchi nyingine inayojiita ya kikristo ni zambia na south africa waliweka waziiUmetumia kijiti au? Uislam hautakiwi marekani, je huko marekani hakuna msikiti?
Mkuu nimeuliza marekani hakuna msikiti? Sasa angola imetoka wapi tena? Ikiwa urusi kwa putin kuna msikiti nduo utakosekana marekani?Tusiende mbali hata angola tu walivunja msikiti na wakaweka wazi wao nchi yao ni ya kikristo na nchi nyingine inayojiita ya kikristo ni zambia na south africa waliweka wazii
Hahaaa! Eti leo now wanataka kurudi kweli wewe chizi, hujiulizi kwanini trump katawala kipindi kimoja tu? Wenyewe marekani walistukia kuwa wameweka chizi badala ya raisi, huwezi kuzuia dini ya mwenyezi MUNGU mkuu, samahani ndugu CHOKOdariWanasalia ndani, je saudia kuna kanisa? Kama hujui marekan ilikuwa inaongozwa kikristo baadaye wakaweka secular but now wanataka kurudi kikristo zaidi si unakumbuka trump alivyopiga marufuku din nyingine na alisemaje?? Watu wanaoingia marekan waheshimu tamaduni zao na wajue usa ni christians states na hata rais anaamuliwa na kanisa ukitaka habari hii ingia youtube tafuta dira ya dunia bbc swahili waliielezea vizuri kuhusu marekan ilikuwa mwaka juzi november tatizo hamchunguzi
Tusiende mbali hata angola tu walivunja msikiti na wakaweka wazi wao nchi yao ni ya kikristo na nchi nyingine inayojiita ya kikristo ni zambia na south africa waliweka wazii
Mnadanganyika sana hiyo ni kazakistan tafuta habari hiyo kwa kina π€£π€£π€£πππππ niliishaionaView attachment 2209800
Urusi hiyo
Mkuu hata mi nimefatilia nchi ulizosema zote zimepiga ban uislam nimekuta zote zinamisikiti na wanaotaka kufanya ibada wanafanya kama kawaida, pili kwanini unaumia kuona waislam wakifanya ibada? Kama uislam upo china na marekani ni wapi wanaweza kuuzuia?Mnadanganyika sana hiyo ni kazakistan tafuta habari hiyo kwa kina π€£π€£π€£πππππ niliishaiona
Serikali yetu haina uwezo kuzuia adhana na kengele kusikika labda hizo kelele za mabaa, rais wa nchi akisikia adhana anasimamisha hotuba ndio ije kuzuiliwa kweli? Waza kingine mkuuYaani wewe ufunge utake na wengine woote wasile hadharani mchana sababu yako huo ujinga uko Zanzibar na nchi nyingine za kipuuuzi hapa Dar es salaam na Tanganyika yote kwa ujumla hakuna upuuzi huo bado mikelele ya spika tu inaendelea nayo miaka kadhaa ijayo itatungwa sheria kutuondolea mikelele ya adhana na mikengele makanisani na ma mziki ya kwaya we abudu kivyako usutupigie mikelele
JamaniSijaona kipya wala kigeni zaidi ya kujimwambafai kidini
Uchina ni nchi ya mpingakristoSema tu nia yako ujioneshe kwamba hakuna tatizo huko china, acha kudanganya watu wewe sema unasalia ndani coz uislam hautakiwi china wala marekani hata hao unaowataja eti wanatokea marekan ni wakimbizi coz marekan ni nchi ya kikristo kama hujui hilo hao wahamiaji ndio wakifika hujidai ni wazawa, mbona huwa hampendi kusema saudia au yemeni mnakazana ulaya π€£π€£ππ hizo ni nchi ambazo haziusiki na utamaduni wa muarabu usifosi ndugu
Lakini china ina wakristo wengi sanaa coz hata utamaduni umeingizwa na wakristo mfano uvaaji suti, ndoa na vingne wanaendana mfano ulaji kitimoto(nguruwe) china inaongoza kula nguruweUchina ni nchi ya mpingakristo
Uislamu wa kwenye Facebook na Whatsapp ni tofauti Sana na waislamu tunaoishi nao.Sijaona kipya wala kigeni zaidi ya kujimwambafai kidini
Mjomba ilivyokaza fuvu utafikiri wewe ni mwenyekit wa kitongoj huko [emoji630] China,kumbe hata mlango wa ndege huujuiSema tu nia yako ujioneshe kwamba hakuna tatizo huko china, acha kudanganya watu wewe sema unasalia ndani coz uislam hautakiwi china wala marekani hata hao unaowataja eti wanatokea marekan ni wakimbizi coz marekan ni nchi ya kikristo kama hujui hilo hao wahamiaji ndio wakifika hujidai ni wazawa, mbona huwa hampendi kusema saudia au yemeni mnakazana ulaya [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] hizo ni nchi ambazo haziusiki na utamaduni wa muarabu usifosi ndugu