ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Banda la kuku unatengeneza nje kidogo kwa kutumia mabati na mbaoUnafuga vipi kwenye ghetto la chumba kimoja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Banda la kuku unatengeneza nje kidogo kwa kutumia mabati na mbaoUnafuga vipi kwenye ghetto la chumba kimoja?
Mpwaa mengine hayatoki labda uende Saudi Arabia wakayatoee wakati ykisubiri ushamalixa mwendo mkuu m siwapagi dk o kunisumbua woiiAma ammwagie maji ya Mwamposa mke wake pepo limtoke? 😂
Nyumba ipiUnapata pressure na msongo wa mawazo kwa ajili ya nini?
Binafsi naona kama unafake life mkuu. Ishi uhalisia wako na mkae chini na mkeo muelekezane muishi lwa kulingana na kipato chenu. Kwa umri wangu wa kuishi ndoani kwa miaka 25 sasa nimejifunza mwanaume ndiye anayeamua ndoa na nyumba yake iwaje.
Shida ni kwamba vigezo vya msingi katika kuoa tunaviepuka tunafuata chura la mwanamke. Matokeo yake ndio tunaoa wanawake hawana akili hata ya kujiongoza wao wenyewe achilia mbali kuongoza watoto.Mke hakujua una kipato kidogo kabla ya ndoa? Ama wewe ni ile aina ya mwanaume uliyefanya una hela wakati wa uchumba ukaja kuonesha rangi yako ukiwa ndani ya ndoa?
Lakini kivyovyote vile,kama alikupenda kweli kipato kidogo haikutakiwa kuwa sababu ya migogoro hadi kufanya presha kupanda
Kama hakukupenda...pole sana
Mkuu; Sentensi ya mwanzo 👆 👆 (ya kwanza) umetupiga kamba. Haijawahi na haitokaa hali kama hiyo kuwepo hapa duniani. Never. Kwa nini nasema hivyo?Mbona me Nina furah sana na ndoa yangu na Sina hela kihivyo.
Ukipata hela jaza vyakula achana na mambo mengine jaza unga Michele mafuta sukari sabuni maharage na dagaa halafu muachie wife kama laki moja tu inamtosha...fugafuga na vikuku
Hao viumbe wakitaka hela wanajua ipo tu na kama haipo ni kama watoto utatupiwa lawama zote zilizo chini ya juaMke hakujua una kipato kidogo kabla ya ndoa? Ama wewe ni ile aina ya mwanaume uliyefanya una hela wakati wa uchumba ukaja kuonesha rangi yako ukiwa ndani ya ndoa?
Lakini kivyovyote vile,kama alikupenda kweli kipato kidogo haikutakiwa kuwa sababu ya migogoro hadi kufanya presha kupanda
Kama hakukupenda...pole sana
Nimeishia kusoma hapo kwenye BOLD na kugundua utafiti wako bado haujakamilika. Sikuwa na haja ya kusoma taarifa yote ya utafiti wako. Endelea kufanya utafiti pia uongeze sampuli inayojumuisha wenye ndoa lakini pia ni matajiri. Usiishie kwa wenye pesa Tanzania bali pia matajiri wakubwa wa dunia kama Elon Musk, Jeff Bezos nk.Nimegundua kwamba changamoto za ndoa zinaweza kukuletea presha kubwa, hasa unapokuwa na kipato cha chini.
Umechanganyikiwa wewe..dogo acha uchawi wako nimekuandikia WhatsApp hujajibu sms yangu umeniblock kabisa na umeniblock messenger
Acheni Tabia za kuendekeza ushirikina Naomba tu udongo ambao umekuja kuchukuwa maeneo ya home urudishe Kabla sijakuitia watu
Nimekuandikia DM uku JM hutaki kujibu sms yangu
"Nyumba" sio ule muundo mbinu unaotengenezwa kwa tofali, miti, bati n.k. halafu binadamu anakaa/anaishi au anajisitiri humo. La hasha. Ni zaidi ya hayo.Nyumba ipi
Ya mileleleeee??
Hukuchagua vizuriKabla ya kuoa, nilidhani ndoa ni chanzo cha furaha na baraka. Nilitarajia amani na utulivu, lakini ukweli umekuwa tofauti kabisa. Nimegundua kwamba changamoto za ndoa zinaweza kukuletea presha kubwa, hasa unapokuwa na kipato cha chini.
Kipato kidogo kimekuwa chanzo cha migogoro isiyoisha. Mahitaji ya nyumbani ni mengi, na mara nyingi mapato hayatoshi. Matokeo yake ni msongo wa mawazo, mabishano, na lawama zisizo na kikomo. Nilipokuwa peke yangu, nilikuwa na uwezo wa kujipanga na kufurahia maisha kwa kipato kidogo. Lakini sasa, inaonekana kama haitoshi hata kwa mahitaji ya msingi
Zaidi ya hayo, nilitarajia mke kuja na upendo, ushirikiano, na msaada. Badala yake, nimejikuta kwenye presha ya kukidhi matarajio ambayo ni vigumu kuyafikia kutokana na hali ya uchumi. Wanawake wengi wanatarajia waume zao wawape kila kitu bila kujali hali halisi ya kipato. Hili limeongeza msongo wa mawazo na kunifanya nipoteze amani ya moyo na hata afya yangu imeanza kudorora.
Kabla ya ndoa, nilikuwa na uzito wa kilo 68 na presha yangu ilikuwa 120/80. Sasa, uzito umeshuka hadi kilo 59 na presha imepanda hadi 130/81. Hii yote ni kutokana na presha ya maisha ya ndoa na kutokuwa na amani ya akili.
Nimejifunza kuwa kuoa kwa kutegemea kwamba mwanamke ataleta baraka au neema ni kujidanganya. Badala ya baraka, nimekutana na changamoto na presha zisizo na mwisho. Ni wazi kwamba bila kipato cha kutosha na ushirikiano wa kweli katika ndoa, maisha yanakuwa magumu sana.
Ndoa inahitaji zaidi ya upendo; inahitaji uvumilivu, ushirikiano, na uelewa wa hali halisi ya maisha. Bila haya, ni rahisi kugeuka kuwa chanzo cha laana badala ya baraka.
Ewaaaa!Shida ni kwamba vigezo vya msingi katika kuoa tunaviepuka tunafuata chura la mwanamke. Matokeo yake ndio tunaoa wanawake hawana akili hata ya kujiongoza wao wenyewe achilia mbali kuongoza watoto.