Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Hao viumbe itoshe tu kusema HATA UNGEMPA NINI; HAWATOSHEKI.Hao viumbe wakitaka hela wanajua ipo tu na kama haipo ni kama watoto utatupiwa lawama zote zilizo chini ya jua
Kwa wale walio ndani ya ndoa watatoa uzoefu wao hapa. Mwanamke kabla ya ndoa utamwona anajiremba, msafi, lugha nzuri na ya sauti ya chini, hakasiriki hovyo i.e. muda wote anapendeza; anamvuto. Mkifunga ndoa tu baada ya ndoa e.g. mwezi mmoja hata pengine mwezi haupiti..utaona: Sauti kubwa, mahitaji na matumizi ya kijinga-jinga e.g. hichi silagi mie, naumwa hapa au pale, naenda kusalimia fulani, nimejiunga vikoba na leo kuna kikao, umeme & maji wanataka malipo yao n.k. Ukimshauri labda aibue na aanzishe kamradi fulani amazing atakuuliza mradi gani?? utasikia unanidharau n.k. ww ni mbishi sana etc. Kwa mantiki hiyo; ndoa ni mapambano na ni mtihani endelevu wa kudumu.
Na cha kushangaza zaidi ni kwamba unatunukiwa cheti hata kabla ya kumaliza kozi.