Maisha yangu ya ndoa ni tofauti na nilivyoyatarajia

Pole mkuu ila bado una nafasi ya kusahihisha kwanini ufe na tai shingoni kama umezaliwa nayo
Mhh. Kwa wengi wetu kujinasua hapo ni mtihani mkubwa sana ujue. Utawahusisha ndg., familia/ukoo, jamii, mhakama na kisaikoljia. Mwisho wa siku Unajiuliza na kutafakari - yooote hayo ya nini? Bora tu nikubaliane na matokeo nikomae na hali yangu.
 
Mhh. Kwa wengi wetu kujinasua hapo ni mtihani mkubwa sana ujue. Utawahusisha ndg., familia/ukoo, jamii, mhakama na kisaikoljia. Mwisho wa siku Unajiuliza na kutafakari - yooote hayo ya nini? Bora tu nikubaliane na matokeo nikomae na hali yangu.
Mifumo ya ndoa ya namna hiyo haifai yani ukikosea huwezi kujisahihisha

Endelea kupambana mkuu huenda akabadilika
 
Kaza roho humu ukileta jambo lako😊Kuna mbwa ziko humu zinaweza kukuongezea pressure🙌uliweka matarajio makubwa kwa mtu ambaye humjui na ulidhani unamjua, jitahidi kufanya kadri ya uwezo wako, kwa afya Yako, usitumie nguvu kumfurahisha mwanamke(mkeo),akiona humuwezi mpe uhuru(Linda akili Yako),jipende kwanza. Cha msingi ukitaka kurejesha amani yako na uwe na amani hapo ndan jifunze kumpuuza mwanamke,zingatia neno kumpuuza usitoke nje ya lane😃...maisha haya Yana step,, kikubwa tafuta namna hata kufuga kuku hutokosa vihela vdg vdg.chukua👍
 
Mwee! Usishangae tena hata ivo vihela vdg vdg. (vya kuwinda kwa manati) ukastukia vimetumika kuendea saluni. Sshyeee!
 
Fanya hivyo mkuu ila usichelewe sana - Fanya maamuzi hata kama ni maamuzi magumu.
Mkuu wew ni mwenyekt wa kataa ndoa nni ,

Mnatak mfungue file la kataa ndoa la mwanacham mpya
 
Chai
 
Mkuu wew ni mwenyekt wa kataa ndoa nni ,

Mnatak mfungue file la kataa ndoa la mwanacham mpya
Waapi bhana!. Si nilijitumbukizamo ndoani sasa imeshakuwa ni Ndoano.
 
Pole Kwa unayopitia kaka.pole
 
Pole sana mkuu. Umeandika changamoto inayokumba wengi ila kipato na uelewa kutofautiana ni jipu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…