BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,191
Nilikuwa na kipato Cha kawaida, Ila yule akaharibu kabisa mipango ya maisha yangu.
Kwa vile nipo hai naendelea kupambana
Kwa vile nipo hai naendelea kupambana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya pambanaNilikuwa na kipato Cha kawaida, Ila yule akaharibu kabisa mipango ya maisha yangu.
Kwa vile nipo hai naendelea kupambana
Duh!.Nilikuwa na kipato Cha kawaida, Ila yule akaharibu kabisa mipango ya maisha yangu.
Kwa vile nipo hai naendelea kupambana
Duuu! Pole aiseNilikuwa na kipato Cha kawaida, Ila yule akaharibu kabisa mipango ya maisha yangu.
Kwa vile nipo hai naendelea kupambana
Ina maana hujaelewa, yule mtu hakuwa mtu mzuri, leo sijui nimeamka na nn, nimeona nitoe machungu yangu, yule ambaye ameenda zakeDuh!.
Yule na yeye hajafanya poa. Kwa nini aharibu mipango yako? Yule umesababisha jamaa yetu anaongea mwenyewe.
Yule mtafute huyu myajenge. Ananung'unika sana kwa ajili yako.
Sio sijui kuandika vizuri, nimeweka cord kidogo, ila Kama upo Jf muda mrefu, utajua yule aliyeenda zake ni Nani.Huwez toboa,kama hata kuandika tu huwez!
Nakomaa na maishaPambana
Namwomba sana Mungu amsamehe kwa makosa yote, Ila maumivu aliyonipa, leo ndio nayatoaAlikuwa jambazi na mafioso
Wezi wauza ngada na matapeli wote maisha yenu yaliharibika wakati wa utawala wa Magufuli,hilo liko wazi kabisaNilikuwa na kipato Cha kawaida, Ila yule akaharibu kabisa mipango ya maisha yangu.
Kwa vile nipo hai naendelea kupambana
Magufuli kaingiaje humu, Wala ngada, wezi. We jamaa kuwa mstaarabu hata kidogoWezi wauza ngada na matapeli wote maisha yenu yaliharibika wakati wa utawala wa Magufuli,hilo liko wazi kabisa
Wewe mwenyewe uliuwa watoto wa watu kwa kuwasambazia mgada (muosha uoshwa?Nilikuwa na kipato Cha kawaida, Ila yule akaharibu kabisa mipango ya maisha yangu.
Kwa vile nipo hai naendelea kupambana
Acha visingizio.Nilikuwa na kipato Cha kawaida, Ila yule akaharibu kabisa mipango ya maisha yangu.
Kwa vile nipo hai naendelea kupambana
Sawa vizur,hata hvyo baadae nilielewa baada ya kusoma commentSio sijui kuandika vizuri, nimeweka cord kidogo, ila Kama upo Jf muda mrefu, utajua yule aliyeenda zake ni Nani.
Sawa vizur,hata hvyo baadae nilielewa baada ya kusoma commentSio sijui kuandika vizuri, nimeweka cord kidogo, ila Kama upo Jf muda mrefu, utajua yule aliyeenda zake ni Nani.