TanzaniaLaw
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,298
- 482
Imams and Islamic Scholars from all Islamic Countries accepting the Lord Jesus Christ!Wamekulamba Kifungo sasa umegeuza Chupi!
Kkkkkkkk.
Unatuwekea Picha ya mzungu halafu unamuita Mungu!
We ndio mbulumundu kweli kweli
ImaY[/video]
Dont forget these buddys of jesus crucified man.
https://lh6.googleusercontent.com/p...Jq2thyO-xD0OcIAWpYb9A12tLEecrZnw=w273-h300-nc
https://lh4.googleusercontent.com/p...NALH_uM_dXhMPnwqaBQ0ooN2QIZCBZ9Q=w180-h264-nc
https://lh5.googleusercontent.com/p...rqFm4iPIJJx19zGqsGSH7vwrDiqFxzRj=w320-h258-nc
Catholic Sex Scandal as Berlusconi's Undercover Reporter ‘Films Priests at Gay Clubs and Having Casual Flings' » David Icke
umeulizwa Swali...
Jina kamili la YESU ni lipi ikiwa kila lugha amepewa jina Mf. Jesus(eng), bebeto(kibrazil), yehoshua(kigriki) yasu(kiarabu) nk... Sasa mtuambie jina lake nan? Na ikiwa ktk quran ndipo jina pekee la ISA a.s linapatkana na halibadliki ktk lugha yeyote ile panapo tafsiriwa quran sasa kwann m bishe kuwa YESU, JESUS,BEBETO,YEHOSHUA,YASU sio ISA
Allah is not the God of the Bible. 1 John [URL="http://.
[/COLOR]
Jina Yesu linamaana, sasa Isa ndio nini!? 2013 amejibu vema nimeona...
Hivi unaelewa Biblia ni nini!? nimpigie simu Musa kwani nataka kwenda kuchukua swala!?Na nani anaye sema haijachakachuliwa, hebu mpigie simu Prophet Mussa mulize hilo swali, kwanini na yeye alisema itachakachuliwa? Hilo la ku refer Bibilia sa ajabu iko wapi mbona kuna watu wengi wanapenda kuwasikia walevi wanasema nini, hata kama wanajua wazi wale walevi hawana akili, lakini kuna wakati flani wanaongea maneno yanakuwa ya kweli sababu wanayatoa walio yaficha:wave:
Ndio utambue Gabriel hana tabia ya kukaba watu kama Jibril alivyofanya...Hata mimi nashangaa mbona Gabriel kina Ibrahim na Mussa na kina Nouh ALIWATOKEA kwa style ingine tofouti na ya Yesu? Mana ya Yesu ni yeye ndio kamwambia mama yake Yesu atabeba mimba na kuzaa siku ile ile? Mbona kwa kina Ibrahim hakufanya vile? Hivi we hujii kuna wengine walisha sema Yesu ni mtoto wa haramu? Na wengi tu walimpinga na wakafikia kutaka kumpigilia misumari kwenye msalaba, mbona wa kina Ibrahim na Mussa na Muhammad wameheshimiwa na wafuasi wao, kwanini unadhani? Afu hio ya kumuita Mungu hivi nyie mna akili au hamna, mana bibilia zenu zinasema Mtu hawezi kumuona Mungu akaishi, sa hapo mnaipinga bibilia aa mnaikubali?
Nataka yale maelezo ulete ya Muhammad akimsimulia Waraqa kwamba alikutana na malaika halafu ndio Waraqa akamuuliza swali kama unavyodai... Ni Waraqa ndiye aliyemwambia Muhammad yule ni malaika...Tatizo lako wewe hufamu nimeisha kuwekea maneno ya Warqah anamuliza Mtume Muhammad, anasema Malaika ulio muona kama aliye muona Mussa? Sa kwanini Warqah ana mhoji Mtume Muhammad maneno hayo? mbona unakwepa ni nani kasema kamuona malaika ni Warqah au Mtume Muhammad.
Kutoka lugha ipi kwenda lugha ipi!?Alikuwa na translate Gospel ya Jesus kwa lugha ingine, nadhani umefahamu sasa.
Ulisema quran ilishushwa pangoni, maana wewe ni bingwa wa kumzulia Allah uwongo, sasa hivi umegeuka unasema Sura...Wewe naona umeishiwa sasa. Nilichosema Surah ya Iqra bism rabekya ndio ilishushwa kwanza, alishushiwa Mtume na Gabriel kabla ya hata kwenda kwa Warqa. Nilicho sema ile sura alishushiwa Mtume wakati yuko Pangoni sijasema Qur'an yote, wapi nilisema Qur'an yote imeshushiwa kule. Afu kama huna point kubali umeshindwa sio unizulie uwongo.
Kwani kati ya quran na Injili ipi iliyotangulia!? mbona mnajifanya mnamjua Yesu mnazareti sana... nyie mnamjua Isa zaidi...Sawa lakini weka akilini Yesu jina lake ni Issa Al Masih na kwa kilugha yake ni Eashoa' M'sheekha. Yani hilo jina la Yesu au Jesus wala asinge wafahamu mnamuita yeye sababu jina lake halifanani kabisa na nyie mnavyo muita. Yesu alikuwa hajui kizungu wala kiswahili sa angewafahamu vipi? Bora hata Qur'an angekubaliana nayo akasema inamtaja jina lake haswa.
Jina la Yesu lilikuwa jina la kawaida la kiyahudi, linaonekana katika lugha ya kiyunani ya agano jipya likiwa sawa na jina la Yoshua la kiebrania katika agano la kale, Maana ya jina hili ni mwokozi wetu na hivyo lilifaa kuwa jina kwa yeye ambaye angeokoa watu wake kutoka dhambi zao...tuanze na maana ya YESU na mm nikupe ushahidi KUNTU kuwa issa au YESU ni Mwekunduu... Haya nipe Maana ya Yesu!
Amma wiladat YASUA L-MASIH fakqanat hakadhaa lamma koana maryamo Ummuhu makhoobatan liyusufu kabla an-yajita-a wujidat hula min, roho L-Qudus. Faysufu rajulaha idh-kana barrawalamyashaa-a an-yosh-hiraha aradaalch -liytahasira. Wallakin fiyma howa moafakar hadhihi L-umuri Idha malaka rrabi ad dhurahara lahulit ho-mi Qaailanyaa Yusuf ihn Dawod laakhat an ta-akhudhu mar-yam am-ra-ataka lianna ladhiy hobilabih fiyna howa mi nal-roho L-Qudus. Fastalida Ibna watd-udu Ismuhu YASUA linoho sha-a-babo min khatwayao him.Ni nani Aliyempa Hilo JINA LA Yesu huyo mungu wako?
Nipe ANDIKO kutoka kwenye BIBI LIA linalosema Huyo unaemuabudu ALIPEWA jina La YESU na mama Yake au HUYO Umuitae BABA YAKE!
Maswali kuhusu Yesu ni nani yanajibiwa vizuri na Mwislam aliyekubali kuitafuta kweli. Marafiki Waislam tutafakari pamoja kwa upendo.
why did your Vatican Gay Leaders wiped off the Story of Magdalena Wife of Jesus crucified and their daughter in the bible?
Why you Kuffar always Change things to manipulate innocent galatian.?
Mkuu naomba uniwie radhi kama naenda nje ya mdaharo wenu
Nina dada yangu ambaye ni mkristu, amepanga kwenye nyumba moja hivi ya muslim, mwaka huu mwanzoni alijifungua mtoto wa kike nikaenda kumuona hapo alipopanga, nikawakuta wapangaji karibia wote(all of them are muslim) pamoja na mzee mwenye nyumba, mstaarabu sana huyu mzee (maybe for outward appearance)
Huyu mzee aliongea kauli moja ambayo hadi leo huwa najiuliza kama ina ukweli au laa
Ninam,QUOTE, "WATOTO WOTE HUZALIWA MUSLIM, LAKINI WAKRISTU HUWABATIZA ILI KUWAVIKA DINI YA UONGO"
Can you tell me how much this statement is true???
i'm not christian, i'm not muslim, don't call me atheist please because i beleave in one GOD
.made in mby city.
Mkuu kwa uelewa wangu mdogo tu, hapo hakuna ukweli au watuambie wapagani wrote ni waislamu
Na kwann Mkristo asipo batizwa Na akafariki kwann hamumziki kama wakristo wengne? JIBU KWA KIBIBLIA... Wap wamesema mtu asipo batizwa si Mkristo ukishajibu Jiulzeee WAPAGANI msingi wao wa imani uko vp? Wanaamin mungu au la?? Na walizaliwa hvyo au walijifunza
Mkuu kwa uelewa wangu mdogo tu, hapo hakuna ukweli au watuambie wapagani wrote ni waislamu
Mkuu kutokana na mabandiko yako kazaa kwenye huu uzi, nimetambua kuwa una knowledge/ujuzi/ uelewa juu ya masuala ya dini ya kiislam
Naomba unijuze juu ya hilo swali hapo juu
I'm not christian, i'm not muslim, don't call me atheist because i beleave in one GOD
.made in mby city.
Nice to see you here bro
.made in mby city.