Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
Lloyd kachana mkeka 😁🤣🤣🤣Jamani🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lloyd kachana mkeka 😁🤣🤣🤣Jamani🙌
Beesmom chungulia PM yakoSina shida Mimi,muulize nimekosea nn kwani🤣🤣🚴🚴
No,nataka Lloyd aje athibitishe kwanza....kalumbu Lloyd Munroe ukuje tafadhaliBeesmom chungulia PM yako
Sawa Tusubiri akujeNo,nataka Lloyd aje athibitishe kwanza....kalumbu Lloyd Munroe ukuje tafadhali
Wagona!Daaa[emoji39] nimekulia mwenzio hayo matunda damu...kabila letu tunaita amapana....nikitoka school kama mboga hamna unasongwa ugali unasubiri upoe kidogo unamenya matunda hayo unakatakata vipande vidogovidogo unatia chumvi na pilipili...mboga tayarii[emoji6]
Usiogope kufa kwasababu bado unaishi,na kitakapokupata utakuwa tayari umeshakufa,hivyo utakuwa hujitambui.Hupaswi kuogopa kitu ambacho huna uwezo wa kukikwepa.Woga juu ya kifo ni hatari kuliko kifo chenyewe.Mi naogopa kufa jamani [emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23] tamu lakini chunguTatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Kwa wanaoamini dini ni kufa ukiwa umeyaweka sawa mambo na Mungu wako - yaani unakuwa umeikwepa jehenama.Kwani kifo chema ni kipi mkuu?
😭wanangu Sasa,sa itakuwaje?Kwa wanaoamini dini ni kufa ukiwa umeyaweka sawa mambo na Mungu wako - yaani unakuwa umeikwepa jehenama.
Kibinadamu ni kifo kisicho na mateso. Kwa mfano mnatia story usiku, mnaenda kulala kesho huamki - umekufa.
Ukweli wa kifo na maisha .ni jambo la kuogopa ila ni vyema kufurahia maisha hakuna kuwaza Kila wakati kuhusu kifo wakati una ishi duniani.Umemaanisha nn mkuu
Dada nilikuwa lindo.No,nataka Lloyd aje athibitishe kwanza....kalumbu Lloyd Munroe ukuje tafadhali
Mkuu usichukulie siriaz me mutu ya utani si unajua mhehe na mnyaki 😁😁