Maishani kamwe siwezi kufanya mambo haya, wewe ni mambo yapi huwezi kufanya?

Kufir@

Kunyonya Kum@

Kuwa na mahusiano na mke wa mtu
Mkuu labda sisi ndugu!
Mzee wangu alikazia sana. Fanya vyote lakini Mke wa Mtu usijaribu. Hakika pamoja na majaribu ya wake za watu katika hali ngumu kwenye Uwanja wa Vita hadi leo.. shilingi imesimama.
2. Kununua Malaya iwe mwiko hao watu wameshatupiwa laaana za kila namna na mikosi yote utazoa ukijaribu... shilingi bado imesimama.
Ahsante sana mzee Mteule ushauri wako bado naendelea kuuuishi.
 
Kwa mganga utakwenda tu .au utampeleka mtu usimalize maneno
 
Kula mtu kinyume na maumbile
 
Mzee pia alikukataza kinyonya kum@ au ni wrwe mwenyewe tu
 
Ukikuwa utaelewa nn maana halisi ya maishΓ  .na maishΓ  hayakupi unachotaka ila yakupa unacho staili ..,.NAJUA utanielewa Kwa ss ndugu ila rafiki wakwel n mudaa...
Yote SAWA ila sio kula au kuliwa mkund@u
 
Mzee wangu mm pia alikazia saana kuhusu hapo kwenye wake za watu alisema hata mazoea tu nisiweke nao
 
Kwenda ukweni bila nauli ya kurudia!
 
Hakuna kisichowezekana chini ya jua ndugu. Omba tu yasikukute.. kuna mambo huwa yanakuwa juu ya uwezo wa binadamu na mmojawapo ni kujua nini kitatokea kwa wakati ujao. Wazungu wanasema NEVER SAY NEVER. Au huu uzi umeandika ukiwa kwenye mkono wa kuume wa Baba mbinguni huku malaika wakiwaimbia?
 
Mkuu hilo sijaligusa. Umenichekesha sana, kwahiyo limekuuma sana kama hatulifnyiii kazi? Hilo bado natafakari utekelezaji wake
Umenichekesha sana Kwa sabab kulamba uchi kwa ulimi ni kosa kubwa sana.

Kiss lenyewe ikiwa ni Malaya hatakuacha na mkiachana atakuchukia sans. Sijui sababu.

Wanawake wote niliowanyonya kumer sipatani nao. Wananichukia sans. Labda humu jf waseme kunyonywa na mtu mnachukia Nini sass
 
Viapo vyako vyooote vitasema kwa hakimu muda acha muda uongeee nawe
 
kutuma nauli (tumia yako ukija utarudishiwa).

kutuma pesa iliyoombwa na binti. unataka pesa njoo uchukue mwenyewe ili nikukule kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…