Maishani kamwe siwezi kufanya mambo haya, wewe ni mambo yapi huwezi kufanya?

Maishani kamwe siwezi kufanya mambo haya, wewe ni mambo yapi huwezi kufanya?

Peace be with you all sons of Zion,

Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga

2. Kushabikia mamipira

3. Kunywa pombe

4. Kumrudia mwanamke niliemuacha

5. Kumpunja mtu haki zake

Na wewe ongeza.
Usiingilie staree za watu unazani walipenda kunywa pombe ujakua ww bdo upo kwa wazazi chanzo apo ni MATATIZO
 
Peace be with you all sons of Zion,

Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga

2. Kushabikia mamipira

3. Kunywa pombe

4. Kumrudia mwanamke niliemuacha

5. Kumpunja mtu haki zake

Na wewe ongeza.
Vyote uluvyo list hapo nimevifanya, kuhusu kipi siwezi fanya ushoga na kulala na damu yako hivi nna uhakika navyo
 
Peace be with you all sons of Zion,

Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga

2. Kushabikia mamipira

3. Kunywa pombe

4. Kumrudia mwanamke niliemuacha

5. Kumpunja mtu haki zake

Na wewe ongeza.
Kusumbua watu kwenye simu ili mradi tu kuwaharibia siku. Hilo kamwe siwezi kufanya
 
kuacha fursa iliyojileta yenyewe bila ya wewe kutumia nguvu hata kidogo kisa tu ya kuogopa watu au ni dhambi, hilo kamwe siwezi kulifanya eti niache fursa
 
hujakutana baba ukitupiwa jini cheketu,jini mahaba au kutupiwa mikosi,au kurogwa ndo utajua umuhimu wa mganga ni nini,kiufupi kuf**ra,kunyonya ku**ma na mk**ndu,kutongoza mke wa mtu au demu wa mtu ni vitu ambavyo navichukia na sivipendi kamwe.
 
Kuna demu nilikutana nae nilikuwa nampenda balaa,nilitaka awe Mke ile tumekutana mara ya kwanza akaniambie nimnyonye uke.
Matarajio yote yaliishia pale pale
 
Peace be with you all sons of Zion,

Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga

2. Kushabikia mamipira

3. Kunywa pombe

4. Kumrudia mwanamke niliemuacha

5. Kumpunja mtu haki zake

Na wewe ongeza.
Wakubwa tunasema,"tema mate chini"...
 
Back
Top Bottom