Maishani kamwe siwezi kufanya mambo haya, wewe ni mambo yapi huwezi kufanya?

Maishani kamwe siwezi kufanya mambo haya, wewe ni mambo yapi huwezi kufanya?

Peace be with you all sons of Zion,

Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga

2. Kushabikia mamipira

3. Kunywa pombe

4. Kumrudia mwanamke niliemuacha

5. Kumpunja mtu haki zake

Na wewe ongeza.
Kuacha kushabikia mpira wa miguu! Hii kitu siwezi kufanya!
 
Wadigo wanausemi wao ,Usinene ukamara , kiufupi kwenye Dunia hii Usimalize maneno weka na Akiba
 
duniani hakuna dhambi unaruhusiwa kuzini hata na mama yako. Nenda kafanye hivyo
You are very idiot and emotionally reactive bigot! Nini uhusiano wa dhambi kuzini na mama.
Unataka kuniaminisha wale wote wasio amini dini za mihemko wanazini na mama zao na dada zao.
Huelewi hata ambacho amini, siwezi endeiea kubisha na mtu mijinga usieelewa hata unacho amini.
 
Usirudie tena kudanganya watu labda kama hujawahi patwa na ma tatizo katika familia yako au ww mwenyew ET HUWEZI KWENDA KWA MGANGA UNAJUA WATU AMBAO MMEKULIA WENDA KATIKA MIJI MIJI HASA MJINI HUWEZI AMINI AMINI UCHAWI WAKATI DUNIA HII INAONGOZWA NA ROHO MBILI TU 1.NURU 2.GIZA UNGEKUWA MAHALA FULANI ISINGEPITA MASAA 7 UNGEKUWA MLANGONI KWA MGANGA
 
Peace be with you all sons of Zion,

Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga

2. Kushabikia mamipira

3. Kunywa pombe

4. Kumrudia mwanamke niliemuacha

5. Kumpunja mtu haki zake

Na wewe ongeza.
Umefuatilia kesi ya Fei Toto mkuu?
 
Elewa, ukikua utaacha haijalishi umetuzaa humu!!!
Labda nikubaliane na hoja yako ya kijinga.
Kuzini ni nini na kwa majibu wa nani?
Kitabu gani kimeandikwa usizini na mama , aliekataza kuzini nani, na anamamlaka gani kwenye maisha ya wengine.
Kama kuzini ni suala binafsi kwaa nini ulipuke namna hio?
Je dini yako inakufundisha kulipuka na kutokutumia akili?
Je una uhakika gani kuwa duniani hakuna watu wanaozini na
Mama zao, na kama wapo hizo sheria zako zimefanya nini dhidi yao?
Kwa nini imani yako unailazimisha iwe general rule.
Jifunze kutofautisha maafili ya jamii na;
Maadili ya kidini
Maadili ya mtu mmoja mmoja
Maadili ya familia
Maadili ya ukoo.
Sheria za dini.
Sheria za kibailojia.
Sheria za serikali.
NK, NK
Acha kuongozwa na mihemko.
 
Peace be with you all sons of Zion,

Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga

2. Kushabikia mamipira

3. Kunywa pombe

4. Kumrudia mwanamke niliemuacha

5. Kumpunja mtu haki zake

Na wewe ongeza.
Usiyofanya mimi labda mpira sipendelei ila yote nafanya hasa wake za watu maana wanaisusiaga vyote nile
 
Ieke vizur hiyo kushabikia mpira mkuu, ila hayo mengine binafs siwezi
 
Back
Top Bottom