....Lissu alisema tunashtakiwa MIGA !kwa kwa Magufuli kapitikana safari hii hana hata tambo za kutamba mbele ya mzungu kajificha chini ya mvungu kwa mwamvuli wa Kabudi ziko wapi zile mbwembwe mara ooho wameniomba msamaha mara wamesema watalipa trilioni lukuki aliambiwa hana uwezo akakataa na kupiga vijembe halijazama anajionyesha ni nguvu ya soda
Dah...unaelewa maana ya majadiliano lakini? 🙁🙁🙁Sasa kuwa mtanzania ndio afanyeje zaidi ya haya?Aibe ushindi?
ndio alisema lakini mbona Magufuli hajafunga migodi si amesurrender sasa anachemshwa na watu aliowaweka wanapoteana kuna uzi humu unaleza walivyoelemewa kwa hiyo kaufyata kama Lissu alivyosema
Inafurahisha munapoona kiboko cha Magufuli ni Lissu kwa hiyo anafanya kwa sababu Lissu alisema tutashitakiwa akili zingine bwana
tatizo la kuchagua raisi mshamba na mwoga asiyejiamini asiye na guts anaficha ipoti ni mama yake kwani si ni ya umma fedha walizolipwa wanatume nizake si ni za umma halafu mjinga kama wewe unayelishwa bur unaaleta ujinga hapaAti Mbowe anataka apewe ripoti za makinikia asome ! ....sijui anataka apigie mistari na kukoleza maandishi ?!
Yanasubir majadiliano ya kamati,kama tukipigwa yataondoka bila hata kuambiwa.Umeamka unaota ndoto na tamaa yako na kuishia kuandika unachotamani kiwe kinatokea.. subiri wenzako mdamganyane. Jaribu tena lingine.. kumbuka makontena bado yapo paleeee..
Mimi sikushangai hata ukisema uzushi wowote.Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.
Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Huyo aliyewashika akili alithubutu kusema tusikamate makontena, na kuiita report ya Prof Mruma ni rubbish, leo mnatembeza majungu tu humu !Inafurahisha munapoona kiboko cha Magufuli ni Lissu kwa hiyo anafanya kwa sababu Lissu alisema tutashitakiwa akili zingine bwana
Meshaanza magumash yenu, mbon mlisema tutashitakiwa na bado tunadunda tu
Nilitaka nikulaani lkn nikakumbuka siruhusiwi kulaani bali kubariki.
Hakuna goti litakalopigwa kwa magufuli.
Bali kwa Mungu kila goti litapigwa.
Heresay tupu. No facts.Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.
Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .
Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Wanashangaza kwa kweli.Michadema siku hizi imebakia mijitu ya hovyo hovyo na mijitu ya ajabu ajabu tu sijui akili zimekwenda wapi? Hivi kweli unakaa kuombea nchi yako ianguke!!!!!
hapa mbona kama mmepanick, mambo sio mambo niniii?Wanashangaza kwa kweli.
Wafuasi wa Tundu Lisu naona mnamwombea Magufuli ashindwe. Kaeni mkijua Magufuli hatashindwa maana uzalendo lazma utamalaki juu ya dhuluma na haki ipo mbioni kuja. Nawashangaa watanzania wanaopenda kushindwa kwa serikali yetu kisa siasa.
Meshaanza magumash yenu, mbon mlisema tutashitakiwa na bado tunadunda tu
Magufuli n mtu ajabu sana! hii ni sawa na kusema mke wangu n mpambavu mbele ya umma wakati n msaidizi wako pale nyumbani....
Hiv alifikiria kabla ya kutamka???? unamteuaje mtu mpumbavu??? si umwondoe wakat mamlaka unae???
Kuwa na kumbukumbu ni kitu cha msingi sana.....
Wapinzani hawakuwa wanapiga kelele before???
Hatimaye mliishia kuwatoa nje ya Bunge.....
Huyu Mungu wenu wa lumumba wakati mikataba inapitishwa Bungeni yy hakuwepo????????
Kwa hyo kuwa mzalendo had uwe Rais??????
Think big brother....