Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaa! Hii ni point nadhani ifike pahala Sheria iadhibu wote ili kuwe na heshima kama kipindi cha chumaMagari ya jeshi huwa hayaendeshwi huku uraiani hasa nyakati hizi hatuna vita.
Mwanjeshi akiendesha gari lake binafsi na akavunja sheria za barabarani akamatwe apewe adhabu stahiki kama raia wengine.
Hii nchi kila mtu akifanya jambo kwa ubabe wake tutafika pabaya ni swala la muda. cha msingi kuomba serikali yetu itusaidie katika hili kwa kushirikiana na Jeshi la ulinzi na usalamaKwa mantiki hii
Nikiamua kuendesha gari hata kama taa hazijaruhusu ni sawa? Such kila mtu akiamua kufanya lake itakuaje barabarani?
Sasa nikutane na wewe mwenye haraka sana unambie sijui haki yangu, utakuwa wa mfano, kama wanataka twende kibabe tambueni kuna wababe waliowazidi na vyeo hawana ila wanasubiri mbuzi wa kafara ajichanganyeKama raia mmelala fofofo na hamjui haki zenu unataka sisi waheshimiwa tuchelewe kwenye foleni kama nyie?
Nakuelewa, na pia naelewa kuna kipaombele lakini naona imepitiliza ustaarabu kabisa.Askari wapo kazini mda wote akae foleni huyo muhalifu ana msubiria tu.
Na waliokesha LINDO usiku kukulinda wewe watatolewa saa ngapi.
Askari akiwa kazini hana Sheria ya Barbara anatumia zote ili kuwahi.
Tambua Kuna wababe na hali kama hiyo ni kama unani attack na kama huna kitu unachowahi me nakuchukulia kama raia wa kawaida na tutaenda sambamba tuWabanie wakutolee upepo ukae masaa unasubiria upepo uchelewe kufika.
We pisha kaa kushoto acha wapite unakereka Nini kwa kitu Cha dakika tu.
Unakuta jitu hata ambulance halipishwi Kisha ujinga TU sijui mama yake angekuwa ndie mgonjwa kabebwa akafanyiwa hivyo nae angejisikiaje.
Kigari chenyewe Cha dada
Kuna magari ya polisi yanayobeba kikosi cha FFU wanaoenda malindoni.
Hawa jamaa nao wanaongoza kwa kuvunja sheria barabarani.
Sijaelewa dharula zao zipo wapi kiasi cha kuvunja sheria za barabarani.
sheria ziko wazi mbona.sasa Kwanini katika sheria za barabara wasiweke kwamba askari akienda lindoni asikae foleni
Afrika ikiwa we ni masikini tii Sheria bila shuruti.Kila mtu akifanya analojisikia itakuwa nchi gani hii. au tifike hali za marekani za Ugensta kuuwana kila mtu akikuudhi, tutailinda amani namna hii