Majaliwa ashtukia upigaji wa Bilioni 8 za zoezi la hereni za mifugo

Majaliwa ashtukia upigaji wa Bilioni 8 za zoezi la hereni za mifugo

Mashimba ndaki hafai kuwa waziri, huwa namuona Kama kikaragosi Fulani, sijui wamemtoa wapi huyu msukuma
Kwanini hafai kuacha hili la hereni lipi lingine linamfanya umuone hafai
 
Wewe kwa akili yako lipi jambo muhimu lilipaswa kuanza kwa wafugaji ni Hereni au chanjo, Maji na malisho ya malisho ya mifugo? ungekuwa umetoka familia za kifugaji usingeongea hivyo .
Bado hujajibu hoja. Hizo bilioni 8.8 Waziri aliziibaje. Alikuwa anatoza fedha kisha anaweka kwenye akaunti zake au namna gani.
Na vipi hilo zoezi lilitakiwa kufanyika bure kwamba serikali ilitoa fedha za watakaolisimamia zoezi au fedha zingetoka wapi kama wafugaji wasingelipia
 
Huyo Ndaki ni mwizi na fisadi kama mafisadi wengine. Wakishirikiana na katibu mkuu wa wizara husika wamekula pesa nyingi kwenye suala zima la hereni za mifugo
Katibu Mkuu wake ni nani? wameshirikiana vipi hiyo Dili ni ya Katibu Mkuu au Waziri?
 
Bado hujajibu hoja. Hizo bilioni 8.8 Waziri aliziibaje. Alikuwa anatoza fedha kisha anaweka kwenye akaunti zake au namna gani.
Na vipi hilo zoezi lilitakiwa kufanyika bure kwamba serikali ilitoa fedha za watakaolisimamia zoezi au fedha zingetoka wapi kama wafugaji wasingelipia
Hayo maswali sasa kamuulize Majaliwa aliyesitisha hilo zoezi mimi na wewe tumesikia tu bungeni zoezi la hereni limesitishwa
 
Wakati unafurahia zoezi kusitishwa ungeangalia pia ukurupukaji wa serikali kwa kupitisha hiyo bei elekezi ambayo naamini ilijadiliwa kwenye baraza la mawaziri akiwepo na huyo waziri mkuu,wazabuni wengi wamebaki na mahereni mengi yanayogharimu mamilioni ya fedha je hasara yao nani atalipa,sawa zoezi litarudi mwezi januari bei itakuwa hiyohiyo?kiukweli namuomba waziri mkuu ajitafakari na matamko yake ya ghafla nakumbuka kwenye issue ya viroba alisababisha mfanyabiashara kujinyonga dodoma baada ya serikali kusitisha biashara ile,sitetei uovu lakini nasema ni serikali hiyohiyo ilianzisha zoezi hili na ikatoa bei elekezi tena kwa kipindi kifupi inasitisha,tunaambiwa nairobi hereni hizo za ng'ombe zinauzwa sh 500 iweje huku wao wauze kwa 1450,tunaomba mjitafakari kwa yeyote anaehusika hasa huko wizarani.
 
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi bungeni kusitisha zoezi la uvishaji hereni mifugo baada ya kubaini upigaji wa Shilingi Bilioni 8.8 uliofanywa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki.

Kwa mujibu wa Majaliwa hadi sasa jumla ya Ngombe 5,068,616 zimeshawekewa hereni hizo ambazo wafugaji wanauziwa kwa Shilingi 1,750 kwa kila ng'ombe mmoja

Ufisadi huu ulilalamikiwa kwa muda mrefu na wafugaji wengi lakini Waziri wa Mifugo, Mashimba Ndaki alishupaza shingo na kuendelea na msimamo wa kuendelea kuwaibia wafugaji huku akiwatangazia vitisho mbalimbali ikiwemo kufungwa au kupigwa faini ya shilingi milioni 2 kila ngombe atakayekuwa hana hereni.

Hadi Waziri Mkuu anasitisha zoezi hilo tayari Wafugaji wameshapigwa Bilioni 8.8 ambapo hadi sasa hawajui hatma ya fedha zao hizo baada ya agizo la Waziri Mkuu kusitisha mpango huo.

Mashimba Ndaki kwa muda mrefu sasa amekuwa akilalamikiwa kwa utendaji mbovu hasa kushindwa kusimamia Wizara hiyo na kujitika kwenye jambo moja tu la kuhamasisha uvishaji hereni mifugo

Huku Wafugaji wakikabiliwa na matatizo mengi ikiwemo ukosefu wa malisho, mifugo kufa kwa kukosa chanjo na madawa, migogoro kushamiri ambapo wafugaji wamekuwa wakiuawa na wakulima maeneo mbalimbali nchini lakini yote hayo Waziri ameshindwa kuyashughulikia amejikita kwenye suala moja tu la kuuza hereni.

Heko Majaliwa kwa kubaini upigaji huu mkubwa uliofanywa na Waziri Ndaki kuwaibia wafugaji masikini Bilioni 8.8 hii ni Kashfa kubwa sana tunaamini Mama akirejea kutoka China atachukua hatua dhidi.
Hamna jambo waziri anafanya bila idhini ya rais na maziri mkuu. Hayo yote rais alikua anayajua na waziri mkuu pia.
 
Nakuhakikishieni waziri Ndaki hafanywi lolote, ataendelea kua waziri Hadi 2025.
You can take this narrative to the bank.
Hawezi fanywa kitu maana alikua anafwata maagizo ya rais na waziiri mkuu. Waziri hawezi fanya kitu bila rais kujua.
 
Ndio shida yetu watu wa akili ndogo, Waziri Mkuu anaongelea wafugaji kuibiwa Bilioni 8 na Waziri Mashimba wewe unasema hataondolewa kwenye uwaziri kwani nani anayesema aondolewe Muulize Majaliwa aliyestukia huo wizi usituambie sisi
Hizo ela zilikua zinalipwa kwa control number? Kama ni ndio huoni kwamba zimeenda benki kuu/serikalini?
 
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi bungeni kusitisha zoezi la uvishaji hereni mifugo baada ya kubaini upigaji wa Shilingi Bilioni 8.8 uliofanywa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki.

Kwa mujibu wa Majaliwa hadi sasa jumla ya Ngombe 5,068,616 zimeshawekewa hereni hizo ambazo wafugaji wanauziwa kwa Shilingi 1,750 kwa kila ng'ombe mmoja

Ufisadi huu ulilalamikiwa kwa muda mrefu na wafugaji wengi lakini Waziri wa Mifugo, Mashimba Ndaki alishupaza shingo na kuendelea na msimamo wa kuendelea kuwaibia wafugaji huku akiwatangazia vitisho mbalimbali ikiwemo kufungwa au kupigwa faini ya shilingi milioni 2 kila ngombe atakayekuwa hana hereni.

Hadi Waziri Mkuu anasitisha zoezi hilo tayari Wafugaji wameshapigwa Bilioni 8.8 ambapo hadi sasa hawajui hatma ya fedha zao hizo baada ya agizo la Waziri Mkuu kusitisha mpango huo.

Mashimba Ndaki kwa muda mrefu sasa amekuwa akilalamikiwa kwa utendaji mbovu hasa kushindwa kusimamia Wizara hiyo na kujitika kwenye jambo moja tu la kuhamasisha uvishaji hereni mifugo

Huku Wafugaji wakikabiliwa na matatizo mengi ikiwemo ukosefu wa malisho, mifugo kufa kwa kukosa chanjo na madawa, migogoro kushamiri ambapo wafugaji wamekuwa wakiuawa na wakulima maeneo mbalimbali nchini lakini yote hayo Waziri ameshindwa kuyashughulikia amejikita kwenye suala moja tu la kuuza hereni.

Heko Majaliwa kwa kubaini upigaji huu mkubwa uliofanywa na Waziri Ndaki kuwaibia wafugaji masikini Bilioni 8.8 hii ni Kashfa kubwa sana tunaamini Mama akirejea kutoka China atachukua hatua dhidi.
Baada ya kushitukia je watu wako selo? Majaliwa ni msaniii sana
 
Hayo maswali sasa kamuulize Majaliwa aliyesitisha hilo zoezi mimi na wewe tumesikia tu bungeni zoezi la hereni limesitishwa
Kwahiyo lawama za Waziri wa Mifugo zinatoka wapi.
1. Hizo heleni wazabuni wanazitoa bure kwamba wanalipwa na serikali, hivyo Waziri anatoza hela kinyume na utaratibu
2. Hiyo 1700+TSh ni nyingi iliyopitishwa na serikali ni chini ya hapo
3. Hiyo hela Waziri anakusanya kwenye mifuko yake badala ya kuiwasilisha kwenye akaunti za serikali
4. Ni kosa kufunga heleni kwenye mifugo
5. Waziri amejitungia sera ambayo haikujulikana na serikali kuu, Rais na huyo Waziri Mkuu

Yani lawama kwa Waziri ni nini, kosa lake nini hasa. Na ufisadi au ubadhirifu kaufanyaje kwenye zoezi hilo
 
Wewe kwa akili yako lipi jambo muhimu lilipaswa kuanza kwa wafugaji ni Hereni au chanjo, Maji na malisho ya malisho ya mifugo? ungekuwa umetoka familia za kifugaji usingeongea hivyo .
K**a kama nyinyi hamkosekani
 
Nakuhakikishieni waziri Ndaki hafanywi lolote, ataendelea kua waziri Hadi 2025.
You can take this narrative to the bank.
Mama mpeni safari za nje tuu. Nyie pigeni hana story.
 
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi bungeni kusitisha zoezi la uvishaji hereni mifugo baada ya kubaini upigaji wa Shilingi Bilioni 8.8 uliofanywa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki.

Kwa mujibu wa Majaliwa hadi sasa jumla ya Ngombe 5,068,616 zimeshawekewa hereni hizo ambazo wafugaji wanauziwa kwa Shilingi 1,750 kwa kila ng'ombe mmoja

Ufisadi huu ulilalamikiwa kwa muda mrefu na wafugaji wengi lakini Waziri wa Mifugo, Mashimba Ndaki alishupaza shingo na kuendelea na msimamo wa kuendelea kuwaibia wafugaji huku akiwatangazia vitisho mbalimbali ikiwemo kufungwa au kupigwa faini ya shilingi milioni 2 kila ngombe atakayekuwa hana hereni.

Hadi Waziri Mkuu anasitisha zoezi hilo tayari Wafugaji wameshapigwa Bilioni 8.8 ambapo hadi sasa hawajui hatma ya fedha zao hizo baada ya agizo la Waziri Mkuu kusitisha mpango huo.

Mashimba Ndaki kwa muda mrefu sasa amekuwa akilalamikiwa kwa utendaji mbovu hasa kushindwa kusimamia Wizara hiyo na kujitika kwenye jambo moja tu la kuhamasisha uvishaji hereni mifugo

Huku Wafugaji wakikabiliwa na matatizo mengi ikiwemo ukosefu wa malisho, mifugo kufa kwa kukosa chanjo na madawa, migogoro kushamiri ambapo wafugaji wamekuwa wakiuawa na wakulima maeneo mbalimbali nchini lakini yote hayo Waziri ameshindwa kuyashughulikia amejikita kwenye suala moja tu la kuuza hereni.

Heko Majaliwa kwa kubaini upigaji huu mkubwa uliofanywa na Waziri Ndaki kuwaibia wafugaji masikini Bilioni 8.8 hii ni Kashfa kubwa sana tunaamini Mama akirejea kutoka China atachukua hatua dhidi.
Kwamba Mashimba Ndaki ndio kapiga 😆😆
 
Mkuu bado upo na mashimba? kwani umeahidiwa kupewa hiyo nafasi yake maana si kwa kumsagia kunguni huku.....
 
Bado hujajibu hoja. Hizo bilioni 8.8 Waziri aliziibaje. Alikuwa anatoza fedha kisha anaweka kwenye akaunti zake au namna gani.
Na vipi hilo zoezi lilitakiwa kufanyika bure kwamba serikali ilitoa fedha za watakaolisimamia zoezi au fedha zingetoka wapi kama wafugaji wasingelipia
Hayo maswali sasa kamuulize Majaliwa aliyesitisha hilo zoezi mimi na wewe tumesikia tu bungeni zoezo limesitishwa
 
Ndio shida yetu watu wa akili ndogo, Waziri Mkuu anaongelea wafugaji kuibiwa Bilioni 8 na Waziri Mashimba wewe unasema hataondolewa kwenye uwaziri kwani nani anayesema aondolewe Muulize Majaliwa aliyestukia huo wizi usituambie sisi
CCM kuna vijana wa ovyo sana
 
Back
Top Bottom