Majaliwa ashtukia upigaji wa Bilioni 8 za zoezi la hereni za mifugo

Majaliwa ashtukia upigaji wa Bilioni 8 za zoezi la hereni za mifugo

Cha msingi asiwe tu amezidisha pale kamba yake inapopaswa kuishia
 
Ukiwa unafanya kazi serikalini kwa nafasi yoyote, na una kadi ya ccm wewe uko juu ya sheria, hakuna wa kukufanya lolote.
 
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi bungeni kusitisha zoezi la uvishaji hereni mifugo baada ya kubaini upigaji wa Shilingi Bilioni 8.8 uliofanywa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki.

Kwa mujibu wa Majaliwa hadi sasa jumla ya Ngombe 5,068,616 zimeshawekewa hereni hizo ambazo wafugaji wanauziwa kwa Shilingi 1,750 kwa kila ng'ombe mmoja

Ufisadi huu ulilalamikiwa kwa muda mrefu na wafugaji wengi lakini Waziri wa Mifugo, Mashimba Ndaki alishupaza shingo na kuendelea na msimamo wa kuendelea kuwaibia wafugaji huku akiwatangazia vitisho mbalimbali ikiwemo kufungwa au kupigwa faini ya shilingi milioni 2 kila ngombe atakayekuwa hana hereni.

Hadi Waziri Mkuu anasitisha zoezi hilo tayari Wafugaji wameshapigwa Bilioni 8.8 ambapo hadi sasa hawajui hatma ya fedha zao hizo baada ya agizo la Waziri Mkuu kusitisha mpango huo.

Mashimba Ndaki kwa muda mrefu sasa amekuwa akilalamikiwa kwa utendaji mbovu hasa kushindwa kusimamia Wizara hiyo na kujitika kwenye jambo moja tu la kuhamasisha uvishaji hereni mifugo

Huku Wafugaji wakikabiliwa na matatizo mengi ikiwemo ukosefu wa malisho, mifugo kufa kwa kukosa chanjo na madawa, migogoro kushamiri ambapo wafugaji wamekuwa wakiuawa na wakulima maeneo mbalimbali nchini lakini yote hayo Waziri ameshindwa kuyashughulikia amejikita kwenye suala moja tu la kuuza hereni.

Heko Majaliwa kwa kubaini upigaji huu mkubwa uliofanywa na Waziri Ndaki kuwaibia wafugaji masikini Bilioni 8.8 hii ni Kashfa kubwa sana tunaamini Mama akirejea kutoka China atachukua hatua dhidi.
Mkuu mbona umeshindwa kutufafanulia jinsi walivyopigwa? (1) wameuziwa hereni bei kubwa? (2) Zoezi alikustahili kuwepo?
 
Mkuu mbona umeshindwa kutufafanulia jinsi walivyopigwa? (1) wameuziwa hereni bei kubwa? (2) Zoezi alikustahili kuwepo?
Mkuu nadhani haya maswali ungemuuliza Majaliwa mimi na wewe ndio tumemsikia akisitisha zoezi
 
Hayo maswali sasa kamuulize Majaliwa aliyesitisha hilo zoezi mimi na wewe tumesikia tu bungeni zoezo limesitishwa
Sasa kama unesikia tu kwa nini unatoa hukumu kuwa Waziri mwizi kwa mambo usiyoyajua?
 
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ametangaza rasmi bungeni kusitisha zoezi la uvishaji hereni mifugo baada ya kubaini upigaji wa Shilingi Bilioni 8.8 uliofanywa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki.

Kwa mujibu wa Majaliwa hadi sasa jumla ya Ngombe 5,068,616 zimeshawekewa hereni hizo ambazo wafugaji wanauziwa kwa Shilingi 1,750 kwa kila ng'ombe mmoja

Ufisadi huu ulilalamikiwa kwa muda mrefu na wafugaji wengi lakini Waziri wa Mifugo, Mashimba Ndaki alishupaza shingo na kuendelea na msimamo wa kuendelea kuwaibia wafugaji huku akiwatangazia vitisho mbalimbali ikiwemo kufungwa au kupigwa faini ya shilingi milioni 2 kila ngombe atakayekuwa hana hereni.

Hadi Waziri Mkuu anasitisha zoezi hilo tayari Wafugaji wameshapigwa Bilioni 8.8 ambapo hadi sasa hawajui hatma ya fedha zao hizo baada ya agizo la Waziri Mkuu kusitisha mpango huo.

Mashimba Ndaki kwa muda mrefu sasa amekuwa akilalamikiwa kwa utendaji mbovu hasa kushindwa kusimamia Wizara hiyo na kujitika kwenye jambo moja tu la kuhamasisha uvishaji hereni mifugo

Huku Wafugaji wakikabiliwa na matatizo mengi ikiwemo ukosefu wa malisho, mifugo kufa kwa kukosa chanjo na madawa, migogoro kushamiri ambapo wafugaji wamekuwa wakiuawa na wakulima maeneo mbalimbali nchini lakini yote hayo Waziri ameshindwa kuyashughulikia amejikita kwenye suala moja tu la kuuza hereni.

Heko Majaliwa kwa kubaini upigaji huu mkubwa uliofanywa na Waziri Ndaki kuwaibia wafugaji masikini Bilioni 8.8 hii ni Kashfa kubwa sana tunaamini Mama akirejea kutoka China atachukua hatua dhidi.
Majaliwa naye tumeshamchoka. Yaani kazi yake ni kushtukia tu. Pengine inawezekana anatupiga fix tu Kama jamaa yake jpm alivyokuwa anatupiga fix mchaa kweupe na ukibisha tu kesho yake unaokotwa kwenye kiroba cocobeach
 
Ukitaka kumuua mbwa Kwa haraka, mpe Jina baya.

Wanaondolewa wazalendo wote Ili waingie wapigaji Ili kufichiana Siri.

Bt yote yafanyikayo sirini na Gizani Mungu huyaweka peupe yaonekane.

Baada ya ndaki, analengwa kiongozi mkuu humo bungeni.
 
Back
Top Bottom