Majaliwa ashtukia upigaji wa Bilioni 8 za zoezi la hereni za mifugo

Cha msingi asiwe tu amezidisha pale kamba yake inapopaswa kuishia
 
Ukiwa unafanya kazi serikalini kwa nafasi yoyote, na una kadi ya ccm wewe uko juu ya sheria, hakuna wa kukufanya lolote.
 
Mkuu mbona umeshindwa kutufafanulia jinsi walivyopigwa? (1) wameuziwa hereni bei kubwa? (2) Zoezi alikustahili kuwepo?
 
Mkuu mbona umeshindwa kutufafanulia jinsi walivyopigwa? (1) wameuziwa hereni bei kubwa? (2) Zoezi alikustahili kuwepo?
Mkuu nadhani haya maswali ungemuuliza Majaliwa mimi na wewe ndio tumemsikia akisitisha zoezi
 
Hayo maswali sasa kamuulize Majaliwa aliyesitisha hilo zoezi mimi na wewe tumesikia tu bungeni zoezo limesitishwa
Sasa kama unesikia tu kwa nini unatoa hukumu kuwa Waziri mwizi kwa mambo usiyoyajua?
 
Majaliwa naye tumeshamchoka. Yaani kazi yake ni kushtukia tu. Pengine inawezekana anatupiga fix tu Kama jamaa yake jpm alivyokuwa anatupiga fix mchaa kweupe na ukibisha tu kesho yake unaokotwa kwenye kiroba cocobeach
 
Ukitaka kumuua mbwa Kwa haraka, mpe Jina baya.

Wanaondolewa wazalendo wote Ili waingie wapigaji Ili kufichiana Siri.

Bt yote yafanyikayo sirini na Gizani Mungu huyaweka peupe yaonekane.

Baada ya ndaki, analengwa kiongozi mkuu humo bungeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…