Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Kwa hiyo wao wawauwe watz kama watakavyo. Lkn wao wasiuawe!!!!!
 
mkuu
ktk picha zote hizo sijaona hata tone moja la damu.... na hizo silaha zinaonekana zimetolewA sehemu salama...

ina maana hao majambazi yalipigwa risasi bila taharuki yoyote na kufa hapo hapo....
Fika kituo cha polisi chochote waambie dukuduku lako
 
Kwa hiyo wao wawauwe watz kama watakavyo. Lkn wao wasiuawe!!!!!
Ni jambo la kushangaza sana, wananchi wakiuwawa kibiti utayasikia yakisema serikali iko wapi wananchi wanauwawa hovyo,

police wakifanya kazi kuyauwa hayo magaidi utashangaa hayo hayo yanapayuka kwa nini mnawauwa watu bila mahakamani, hapo ndipo utachoka zaidi
 
Polisi wana bahati sana wanajua namna ya kukwepa risasi, maana kwenye majibizano hayo ya risasai hakuna hata polisi mmoja aliyejeruhiwa!!

# Si rahisi kuwaamini polisi bongo.
Wamefunzwa wenzio wanajua moto ukitokea kushoto watajenga ngome kulia hayo ndo mafunzo
 
Watu waliouwawa waliwakosea nini? Ni rahisi kujidanganya kwamba wako untouchable au hawawezi kufikiwa kwa urahisi. Lakini dhuluma yao imetosha. Wameua watu wasio na hatia na wengine bila haya waliwasifu.
Acha wavune wanayopanda.

Nalipongeza sana jeshi la polisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamkamata vp mtu ana silaha ya kivita na anapambana na ww?
 
Criminal mind at work,sasa kama kila jambazi/gaidi ni mwendo wa risasi tu,tutapataje intelligence,kamateni mmoja,ahojiwe,ijurikane motive ya matendo wanayofanya nini,?
Je ni ugaidi tu,ni visasi tu,au kuna siasa ndani yake,jeshi inabidi lijipange,nimesikia baadhi ya waliouliwa,walikuwa na mafunzo ya kijeshi,sasa hapa ndio hatari zaidi,hawa wenye mafunzo wapo kibao mtaani,juzi nirikuwa wilaya ya misenyi mkoani Kagera,vijiji vya ndani kabisa,karibu na mpaka was UG,nikakuta,JWTZ,wanatoa mafunzo ya mgambo kwa vijana,kijijini hapo,kati ya vijana watano,unaokutana nao,watatu,wamepigilia kombati za mgambo,wanaishi kijeshi muda wote,kuanzia mavazi,mpaka staili ya kunyoa denge LA wazee,
Sasa hawa vijana,wakiamua kushika mitutu,polisi mtapona?jipangeni wakuu,kutwanga risasi tu,sio suluhisho,mnauwa 11,nyie mnapoteza vijana wenu 8,...no hatari
 
 
Polisi imeanzisha orodha yake ya mauaji. Yawezekana ikavunja rekodi ya ile ya wahalifu wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…