inaelekea wamehojiwa ndio wakafuatwa walipo na kudungwa risasi. hawa ukiwafikisha mahakamani ni kuwapa nafasi kueneza chuki.Je, kulikuwa kuna ulazima wa kuwaua? Ingependeza kama wengine wakamatwe wakiwa hai ili kulisaidia jeshi la polisi katika upelelezi.
Sikiliza habar vizur usikurupukeKurzwell
Media za TZ inaonesha Katika picha kuna silaha mbili siyo SMG bali ni maalum za kurushia mabomu ya machozi / mortar yaani "bunduki" zenye mitutu mipana.
Je hizo silaha za kurushia mabomu ya machozi / kujaza moshi ktk eneo dogo kama chumba / pango kumfanya adui kukosa hewa / kutoka machozi ni mojawapo ya silaha zilizoibwa toka vituo vya PolisI ?
Kuna matukio yanasabisha kutoaminika. Hasa pale wanapotoa taarifa zenye makandokandoSijawahi kuwaamini polisi wa Tanzania. Sijui, labda!!!
Wameuawa Bahati mbaya.Walikuwa wakijibizana Risasi na polisikwann wasiwakamate wakiwa hai ili wawabane waseme mtandao wao wa uhalifu badala ya kuwauwa na ushahidi kupotea kabisa. je kuna kitu kinafichwa?
Sababu aliyeshikwa na ngozi ndio amekula nyama. Pole sana. Tusijidanganye kubaki salama kama tunafanya vitendo vya kihalifuThe same Story I was talking about...
Una uhakika gani kama wao ndio walioua?
Hell no?...ushaambiwa kulikuwa na majibizano how possible kuyakamata majambazi yenye silaha,tuache u Magharibi kwenye mambo ya msingi justice and obedience are kinsmenHell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....
Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......
Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.
Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
Mkuu mortar unaijua au umekariri za kweny video!?Kurzwell
Media za TZ inaonesha Katika picha kuna silaha mbili siyo SMG bali ni maalum za kurushia mabomu ya machozi / mortar yaani "bunduki" zenye mitutu mipana.
Je hizo silaha za kurushia mabomu ya machozi / kujaza moshi ktk eneo dogo kama chumba / pango kumfanya adui kukosa hewa / kutoka machozi ni mojawapo ya silaha zilizoibwa toka vituo vya PolisI ?
Kama huamini na wewe nenda kibiti ufanye uharifu ndo utajua JWTZ wameapa kulinda nchi mpaka tone lao la mwisho la damu
Yeye ni msemaji mkuu wa jeshi LA police,naona sirro anatoa maelezo ina maana wakati wa ambush na yeye alikuwepo?
Kama unataka maiti nenda ukawaombe military intelligence wakuonyeshe, ndo utajua chupa ni kiti jeshiniMaheremu hakuna picha zao? Hata nusu miili tu? Na je hakuna aliyekuwa walau na kitambulisho chochote?
Sent using Jamii Forums mobile app
ijipii + msemaji wa police alikuwa wakati wa ambush au ilikuwaje maana hii scripti sijaielewa kabisaYeye ni msemaji mkuu wa jeshi LA police,
Sio kwel, kama ni murder for hire je, kama ni visasi jemkuu, jambazi akiua anachukua mali. hawa jamaa wanaua afu wanapiga lapa!
Watu 13 wanaodaiwa kuwa ahalifu wameuawa na Askari wa Jeshi la Polisi. Watu hao wamekutwa na Bunduki nane, Pikipiki mbili pamoja na Begi moja la nguo.
Kibongo bongo rekodi unapata wapiWanaitwaje majambazi wakati hakuna rekodi zao za uporaji mali bali mauaji tu!?
Scene of crime"crime area" bongo movie