Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Je, kulikuwa kuna ulazima wa kuwaua? Ingependeza kama wengine wakamatwe wakiwa hai ili kulisaidia jeshi la polisi katika upelelezi.
inaelekea wamehojiwa ndio wakafuatwa walipo na kudungwa risasi. hawa ukiwafikisha mahakamani ni kuwapa nafasi kueneza chuki.
 
Kurzwell
Media za TZ inaonesha Katika picha kuna silaha mbili siyo SMG bali ni maalum za kurushia mabomu ya machozi / mortar yaani "bunduki" zenye mitutu mipana.

Je hizo silaha za kurushia mabomu ya machozi / kujaza moshi ktk eneo dogo kama chumba / pango kumfanya adui kukosa hewa / kutoka machozi ni mojawapo ya silaha zilizoibwa toka vituo vya PolisI ?
Sikiliza habar vizur usikurupuke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwann wasiwakamate wakiwa hai ili wawabane waseme mtandao wao wa uhalifu badala ya kuwauwa na ushahidi kupotea kabisa. je kuna kitu kinafichwa?
 
Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....

Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......

Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.

Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
Hell no?...ushaambiwa kulikuwa na majibizano how possible kuyakamata majambazi yenye silaha,tuache u Magharibi kwenye mambo ya msingi justice and obedience are kinsmen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kurzwell
Media za TZ inaonesha Katika picha kuna silaha mbili siyo SMG bali ni maalum za kurushia mabomu ya machozi / mortar yaani "bunduki" zenye mitutu mipana.

Je hizo silaha za kurushia mabomu ya machozi / kujaza moshi ktk eneo dogo kama chumba / pango kumfanya adui kukosa hewa / kutoka machozi ni mojawapo ya silaha zilizoibwa toka vituo vya PolisI ?
Mkuu mortar unaijua au umekariri za kweny video!?
 
  • Thanks
Reactions: Qss
Majibizano ya risasi yameua watu wote 13 pamoja na mtuhumiwa aliowapeleka mafichoni lakini hakuna polisi hata mmoja aliopata shida yoyote ? Hata shati kuchanika?

Jeshi letu liko vizuri sana aisee.
 
Watu 13 wanaodaiwa kuwa ahalifu wameuawa na Askari wa Jeshi la Polisi. Watu hao wamekutwa na Bunduki nane, Pikipiki mbili pamoja na Begi moja la nguo.


1be4dcb1030cefec4c7b5919ad64b788.jpg
Wanaodaiwa !!
Bahati mbaya maiti hawaongei na hivyo hawawezi kujitetea.
 
Back
Top Bottom