Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Hongera mkuu kwa kazi nzuri sana ya kwako na ya jeshi lako la polisi na wananchi wanaotoa ushirikiano na nyie.Visisimizi vichache haviwezi kumuhamisha mwenye nyumba
 
Hivi polisi wakijeruhiwa ndio furaha yenu?
Risasi za majambazi za MCHANGA au maanake hata POLISI aliyejeruhiwa hakuna
Why kila mtu anaulizia kuhusu kutojeruhiwa kwao? So, baada ya majeraha ndio mtaamini utokeaji wa tukio. Yaani napata tabu sana kumeza hili
 
Maana wao walikua wanafata Sheria..? Pambana na hali yako mkuu Yani waende kula Pesa ya serikali jela na mahakamani hapana warest in Peace tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi polisi wakijeruhiwa ndio furaha yenu?

Why kila mtu anaulizia kuhusu kutojeruhiwa kwao? So, baada ya majeraha ndio mtaamini utokeaji wa tukio. Yaani napata tabu sana kumeza hili
Timezoea kuskia majeruhi[emoji61] [emoji61] wawili au watatu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani hujui unachokiandika, wewe ni mtanzania kweli? hayo majambazi unayatetea? tunakushangaa saana! Polisi tunawaunga mkono kwa asilimia mia kwa kazi nzuri na ngumu mnayoifanya.
cc. Mwigulu.
Hawa ndio wale magaidi acha kujisumbua

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Gud watu wa kibiti wawe na amani tena...
Lakini polisi wamenichekesha kidogo yaan waliwajeruhi majambazi kibiti afu wanawakimbiza muhimbili kwa matibabu yaan kibiti hakuna hospitali karibu sasa mtu anavuja damu atoke kibiti mpaka afike muhimbili mzima kweli
 
Mkuu hujaelewa tu? [emoji2] [emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo polisi ndo wanatakiwa kuuwawa? Hata hivyo wameeleza majibizano ya Risasi ndo yaliyowasababishia majeraha wakafariki wakiwa njiani kwenda hospital.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halkuw lengo lao kuwauwa,,, ndo maana walwaahisha hospital

Sent from my PTM-Z-mini using JamiiForums mobile app
 
Nonsense

Sent from my PTM-Z-mini using JamiiForums mobile app
 
ndemwaaa..kwenye majibizano ya risasi kama hayo...na mashine walizonazo unafkir unashka kuku....JUST MURDER DEM


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera sana kamanda,picha na taarifa ndizo zinazozidi kuimarisha imani kati ya police na wananchi kwamba jeshi letu linapambana kutupigania na tushirikiane kutoa taarifa.
 
mie bado nasubiri motive ya hicho kikundi cha MKIRU. Hadi sasa serikali imeweka 3 motives; dini (JPM na Mwigulu wamehusisha na mashehe wa uamsho), siasa (CUF/CHADEMA wamehusishwa kwa nyakati tofauti na ugaidi. Sasa serikali ituwekee na ushahidi which is which motive sie wananchi tuishike maana kwa kila motive moja ambayo serikali imeitaja ina socio-economic and security impact zake
 
Pongezi nyingi kwa polisi wetu kwa kazi nzuri baada ya muda mrefu wa usumbufu na mauaji kibiti! hatimaye angalau tumaini linarudi!!!
Lakini huwa najiuliza, hivi wale panyarod 1000 waolikamatwa Dar kipindi kile waliishia wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…