Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....

Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......

Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.

Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
Jambazi anastahili kufa!! Na wafe tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
45dfcb496a0f544c252c946565892b3f.jpg
 
Mkiwaua wote nani atawaelekeza wengine walipojificha?
Wangebakisha hata mmojatu akaonesha ramani ya walipo wengine,nani anawawezesha na nikwanini wanaua
 
wangemkamata mmoja tu asaidie kuwataja wahusika wengine
 
Maswali mawili nimeona humu ndani
1) watu hawana uhakika kama kuna majambazi yameuawa.
2) Hatakama kuna walio uawa watu hawana uhakika kama waliouawa kweli ni majambazi.

Haya mawili yakipata majibu humu patakuwa shwari.
 
Ila askari walioshambuliwa na kuuawa tulionyeshwa picha,vyote hii ni kuleta ufanisi,kumfunika Mangu kuwa alikuwa mweupe.

2020 Sea-raw anaweza kuleta maafa sana,maana nawaza tu jinsi alivyokuwa anamtii Makonde na kujibiidisha,je wakati wa uchaguzi?!
 
Back
Top Bottom