Criminal mind at work,sasa kama kila jambazi/gaidi ni mwendo wa risasi tu,tutapataje intelligence,kamateni mmoja,ahojiwe,ijurikane motive ya matendo wanayofanya nini,?
Je ni ugaidi tu,ni visasi tu,au kuna siasa ndani yake,jeshi inabidi lijipange,nimesikia baadhi ya waliouliwa,walikuwa na mafunzo ya kijeshi,sasa hapa ndio hatari zaidi,hawa wenye mafunzo wapo kibao mtaani,juzi nirikuwa wilaya ya misenyi mkoani Kagera,vijiji vya ndani kabisa,karibu na mpaka was UG,nikakuta,JWTZ,wanatoa mafunzo ya mgambo kwa vijana,kijijini hapo,kati ya vijana watano,unaokutana nao,watatu,wamepigilia kombati za mgambo,wanaishi kijeshi muda wote,kuanzia mavazi,mpaka staili ya kunyoa denge LA wazee,
Sasa hawa vijana,wakiamua kushika mitutu,polisi mtapona?jipangeni wakuu,kutwanga risasi tu,sio suluhisho,mnauwa 11,nyie mnapoteza vijana wenu 8,...no hatari