Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Majambazi 13 wauawa Kibiti, wakutwa na Bunduki 8 pamoja na Pikipiki 2

Ww ulitakaje? Kwanza wapelekwe mahakaman kufanya nn?
Roho zisizo na hatia walizozitoa walizipeleka mahakaman?

Naona hizi habar ni mbaya sana kwenu maana mlitegemea kwamba mtaendelea kuua watu lakn kiama chenu kimefika.
Mtakwisha tu.

Unaweza kuwa sahihi kutokana na ushabiki na mihemko uliyonayo. Lakini katika utawala wa sheria nafasi ya mahakama ni muhimu sana. Kuna siku yatamkuta ndugu yako halafu utakuja hapa JF kulia na kunung'unika. Hata wale wafanyabiashara wa madini kutoka Mahenge waliouawa na polisi waliitwa majambazi na watu waliaminishwa hivyo lakini mwisho wa siku ukweli ulithibitisha hawakuwa majambazi.
 
Nashauri uchunguzi wa kina ufanyike, Haya majina Abuu yanaashiria nini na Mariam na Salma yanaashiria nini pia

Historia yao ichunguzwe kwa kina kubaini mahusiano yao na waliouawa na watu wengine baki walioko mtaani, hii itasaidia kubaini mambo mengine outside the box
Critical thinking
 
Una uhakika gani kuwa hakuna mtuhumiwa aliyekamatwa akiwa hai? Huyo Abajani aliyewapeleka polisi maficho yao alikuwa maiti? Acha kushabikia mambo usiyoyajua.

Mbona hakuna hata kesi moja mahakamani inayohusiana na kadhia za huko? Wewe unayeyajua tujuze basi wadau humu.
 
Ninalipongeza sana jeshi la. Polisi kwa kazi hii. Kama ni kweli lakini kwani Nina vimaswali kidogo
1. Kati ya hao waliouawa kuna yeyote Kati ya wale zaidi ya 10 waliotajwa hapo awali na kubandika picha zao kuwa wanatafutwa?
2. Wale waliouawa Mwanza tuliambiwa kuwa walikuwa ni wahusika wa mauaji ya kule pwani je ndivyo hivyo?
3. Tumeshuhudia hadi sasa habari zote zikiwa za kufanana kuwa Polisi huwa wanapelekwa na mtuhumiwa kuwaonyesha sehemu walipo hao waharifu lakini mwisho wa siku na huyo mtuhumiwa na yeye huwa ni miongoni mwa wanaouawa je uuawa na polisi au majambazi wenzie? Kama ni polisi ndio uwaua watu hao lengo ni nini? Na Kwa nini Mara zote sijawahi sikia majeruhi hata mmoja amepona na kuendelea kupatiwa matibabu chini ya ulinzi ili apelekwe Mahakamani na ukweli ujulikane juu ya hayo waliyokuwa wakiyatenda?
4. Je Kwa kinachofanyika na jeshi la polisi sio kujichukulia sheria mikononi kuua kitu ambacho kila siku jeshi hili linatupatia elimu wananchi tuache kujichukulia sheria mikononi kuua waharifu tuwakamate na wapelekwe polisi na Mahakamani ili wahukumiwe.
 
majibizano ya risasi bila hata polisi mmoja kujeluhiwa???
Hivi kwani polisi kujeruhiwa ni suala la lazima eeh? Coz naona povu tu tangu uzi unanza. Umeshaambiwa jeshi lilishajiandaa/wazunguka hao wahalifu mapema, sasa hapo unategemea nn? Hivi sijui kwa nini wengine sample za mikojo humu zisichukuliwe
 
Ndugu Wanahabari
Watuhumiwa 7 (Saba) kati ya 13 (kumi na tatu) waliopoteza maisha kutokana na majibizano ya risasi wametambuliwa kuwa ni:

1. Hassani Ali Njame
2. Abdallah Abdallah Mbindimbi @ Abajani
3. Saidi Abdallah Kilindo
4. Abdulshakuru Mohamed Ubuguyu
5. Issa Mohamed Mseketu mtawa
6. Rajabu Thomas roja
7. Mohamed Ally Kadude @Upolo
Miili 6 (sita) iliyobaki haikuweza kutambulika mara moja hivyo utambuzi utaendelea huko ilikohifadhiwa Hospitalini DSM.
😀
WAISLAM BWANA HIZI DEAL WANAZIPENDA KWELI
 
Picha za watuhumiwa hao zitasambazwa kote nchini ili iwe rahisi kuwabaini. Majina ya watuhumiwa hao ni:
i.Anafi Rashid Kapelo @ Abuu Mariam
ii. Hassan Haruna Kyakalewa @ Abuu Salma @ Shujaa @ Dokta
iii. Haji Ulatule
iv. Shekhe Hassan Nasri Mzuzuri
v. Rashid Mtutula
Huu sio ujambazi, waislam wanaleta ile kitu inaitwa UGAIDI
 
Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....

Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......

Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.

Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......

Nadhani hujui unachokiandika, wewe ni mtanzania kweli? hayo majambazi unayatetea? tunakushangaa saana! Polisi tunawaunga mkono kwa asilimia mia kwa kazi nzuri na ngumu mnayoifanya.
cc. Mwigulu.
 
Ila sasa inashangaza kidogo, mbona majambazi ya kibiti yenyewe yakiuwawa hatuonyeshwi picha zao tunaonyeshwa siraha zao na vitu vingine tu hao wananini jamani.

Mwanza hua wanawaonyesha mpaka yumba zao wanamojificha kulikon kibiti karibu majambazi sehemu zoote walimouliwa picha za video hutuonyesha na siraha zao na hata maiti mochwali hawa wa kibiti ndio wakoje hasa hata magazeti picha zake ni za siraha na pikipiki wao majambazi wako wapi tuonyesheni picha ili tuende tukaendele na kilimo lasivyo mh hofu bado itakuwepo sio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hell no. .that shouldn't be the way!
Washukiwa hawatakiwi kuuwawa hata kidogo.....

Kazi ya police ni ku enforce law and order na sio judgement......

Tukiwaachia police uhuru huo... Tumekwisha.

Hili ni kwa Usalama wetu sote, Hakuna Chama Wala Ushabiki kwenye mambo kama haya......
ungesoma kwa makini usingeandika hii kitu.
we umeambiwa majambazi wameuawa kwenye majibizano ya risasi, wewe unasema shouldnt b that way!
we ulitegemea askari wafanyeje sasa huku wanarushiwa risasi? wakimbie au?
 
Je, kulikuwa kuna ulazima wa kuwaua? Ingependeza kama wengine wakamatwe wakiwa hai ili kulisaidia jeshi la polisi katika upelelezi.
read btn the lines brother, umeambiwa askari walipokuwa wakipelekwa kwenye maficho na mmoja wa wahalifu walijikuta katika tahaluki kubwa baada ya kuanza kurushiwa risasi, ambapo hata huyo(mhalifu) aliyekuwa anawapeleka alijikuta anajeruhiwa vibaya. Sasa ulitaka askari wafanyeje sasa?
 
read btn the lines brother, umeambiwa askari walipokuwa wakipelekwa kwenye maficho na mmoja wa wahalifu walijikuta katika tahaluki kubwa baada ya kuanza kurushiwa risasi, ambapo hata huyo(mhalifu) aliyekuwa anawapeleka alijikuta anajeruhiwa vibaya. Sasa ulitaka askari wafanyeje sasa?
Hiyo sababu now imekuwa kawaida. Eti mara taharuki au mara alitaka kutoroka. Nadhani akishawapeleka si anabaki kwenye gari na mlinzi mmoja na anakuwa na pingu. Au wanaenda nae mpk kwenye chaka mita 4 kutoka washukiwa walipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom