Majambazi ya Burundi ni habari nyingine

Tulivyokua tunakua ndio story hizo ipotezee inaonekana habari za hadithi ya kudunda risasi ujakutana nayo mara nyingi sio kweli ni kunogesha story tu mazee kama movie za Kihindi...
Kuna jombaa moja miaka michache iliyopita aliniambia kuwa anamfahamu mganga ambaye anakuweka dawa hakuna panga wala shaba itakayopenya....

Nikasema, wajinga ndo waliwao
 
Ulivowaelezea majambawazi ya kirundi umeshusha uzi kikuda kama vile unawasifia
 
Mkuu mbona umekurupuka tu ukasahau na kapicha?!
 
Mkuu wewe siyo mtu mzuri kabisaa..yani mbwa wamsalimiee
Jamaa si kaponda bhana wanaume wanafukuzwa na mbwa? Nimempa ruhusa yeye asiyeogopa aje nimpeleke akawape salamu kidogo na hakai muda mwingi dk 2 tu zinatosha, ajitolee aje tu 😂
 
Risasi kudunda huenda wanavaa bullet proof
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…