Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Masikini wengi ni wakatili.Siyo wakali.Ni wakatili.Elewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jombaa moja miaka michache iliyopita aliniambia kuwa anamfahamu mganga ambaye anakuweka dawa hakuna panga wala shaba itakayopenya....Tulivyokua tunakua ndio story hizo ipotezee inaonekana habari za hadithi ya kudunda risasi ujakutana nayo mara nyingi sio kweli ni kunogesha story tu mazee kama movie za Kihindi...
Mkuu wewe siyo mtu mzuri kabisaa..yani mbwa wamsalimieeMkuu mimi nina mbwa, nakuomba wewe usiyeogopa nikulete uje angalau uwasalimie kidogo
Mkuu mbona umekurupuka tu ukasahau na kapicha?!Kwanza hawa jamaa huwa hayavunji milango kuiba tv, hawafanyi huo utopolo. Show zao huwa yanaiba maduka Hadi 30 kwa wakati mmoja, yanafunga mitaa kadhaa.
Ukishindwa kuwapa wanachotaka yatakumaliza na ukiwa yatakumaliza. Yakifanya mauaji yatahakikisha hata msibani kwako watu washindwe kukuaga, hayapigi risasi, yanashusha shoka kichwani kwako.
Ukipiga risasi huwa zinadunda kabisa Kama imepiga chuma. Yanaweza kuteka basi kadhaa kwa wakati mmoja. Kwa kawaida Askari huwa hawapendi kabisa Kuja kusaidia yanaposikia Warundi Wana show sehemu (huwezi kuwalaumu Askari kwa kweli).
Show nyingi huwa yanapiga mikoa ya Kigoma, Kagera, Geita na maeneo ya Shinyanga.
waasi ni huko kwao burundi, wakija huku tunawabatiza jina la majambazi.Hao sio majambazi ni Waasi mzee baba...
Boko haramu ni boko haramu hata wakiebda kufanya matukio Chadwaasi ni huko kwao burundi, wakija huku tunawabatiza jina la majambazi.
Jamaa si kaponda bhana wanaume wanafukuzwa na mbwa? Nimempa ruhusa yeye asiyeogopa aje nimpeleke akawape salamu kidogo na hakai muda mwingi dk 2 tu zinatosha, ajitolee aje tu 😂Mkuu wewe siyo mtu mzuri kabisaa..yani mbwa wamsalimiee
Toa location na namba shemeji asaidiwe, anakuaje mbali na kiumbe kinachoitwa mwanamke [emoji35][emoji1787][emoji1787] Hayupo nisije nikabaka yupo mbali na mimi