CHARS CHALIGHA
Member
- Aug 14, 2012
- 17
- 0
Mbona kawaida sana tena hao wachache, Dr. Karamagi wa Economics huwa anatakamata hadi 700 yeye tu peke yake kwenye kozi yake ya Intermediate Microeconomics. Hapo bado Ngowi hajashika nusu ya Darasa kwenye course ya Probability Distributions watu wa Statistics
Inaonekana hawakutumia mbinu za medani:
tatizo ni nini?
kuwatumikia wanasiasa badala ya kuwa serious na kilichowapeleka pale. cha moto wamekiona,imbeni basi peopleeeeees power
huu ni muendelezo wa majanga ya zao la shule za katakuwatumikia wanasiasa badala ya kuwa serious na kilichowapeleka pale. cha moto wamekiona,imbeni basi peopleeeeees power
.........Mkuu, nadhani mfumo wa elimu ni ule ule wa zamani, nahisi labda wanafunzi ndo wabovu kutokana na kutozingatia wanachofundishwa wakidhania jina la chuo litawabeba.Inaonyesha ni kias gan mfumo wa elim ulivyo mbovu!!
hi kalii mzaz muccobs ni nouma is my first college nakijua ukikutana na ngairo lazma ukae
we boya kwa paper ya sua unafunguka kweliiii
acha ww wa2 tunadiscuss kuhusu UDSM we unaleta habar za mabibi shamba &walima bustani wa sua?
we ar discussing abt UDSM..;!not any COLG lyk sua,mucobs etc
mkuu,kuna mtu namfahamu ameingia na dv 1.4 ila wamemla kichwa kule coet.utasema huyo nae background yake ilikua mbovu?
Du? Ingekuwa wastani ni 50 kama SAUT ingekuwaje? Nahisi wangeondoka karibia wote