Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Tangu Iran iishambulie Israel haijafika wiki moja.
Ndani ya muda kwa hasira ilizokuwa nazo Israel na namna ilivyovuliwa nguo hadharani tayari imejaribu kutaka kurudisha kipiga lakini hatimae ikashindikana.Sasa inatarajiwa itakuwa siku ya Jumatatu ijayo.
Katika kipindi hicho cha ndani ya wiki moja Israel imeona isikae kimya bali iongeze nguvu kwa mnyonge wake Gaza.
Baadhi ya vikosi vya Israel vilivyoondoshwa Gaza vimerudjishwa kuendelea kupiga maeneo ya kaati ya Gaza ilipo kambi ya Nusreita ambapo watu zaidi 100 wameshauliwa .
Mara baada ya shambulio kutoka Iran, viongozi wakuu wa Israel walisema hawana tena tarehe maalum ya kuingia Rafaha.
Hata hivyo katika siku chache zilizopita mashambulizi kutoka angani kwa eneo hilo ndio yameongezeka na kupelekea watu wengi kufa wakiwemo watoto,akinamama na wazee.
Ndani ya muda kwa hasira ilizokuwa nazo Israel na namna ilivyovuliwa nguo hadharani tayari imejaribu kutaka kurudisha kipiga lakini hatimae ikashindikana.Sasa inatarajiwa itakuwa siku ya Jumatatu ijayo.
Katika kipindi hicho cha ndani ya wiki moja Israel imeona isikae kimya bali iongeze nguvu kwa mnyonge wake Gaza.
Baadhi ya vikosi vya Israel vilivyoondoshwa Gaza vimerudjishwa kuendelea kupiga maeneo ya kaati ya Gaza ilipo kambi ya Nusreita ambapo watu zaidi 100 wameshauliwa .
Mara baada ya shambulio kutoka Iran, viongozi wakuu wa Israel walisema hawana tena tarehe maalum ya kuingia Rafaha.
Hata hivyo katika siku chache zilizopita mashambulizi kutoka angani kwa eneo hilo ndio yameongezeka na kupelekea watu wengi kufa wakiwemo watoto,akinamama na wazee.