Majaribio ya SGR Dar mpaka Morogoro yakwama, Vichwa havijakamilika kutengenezwa

Majaribio ya SGR Dar mpaka Morogoro yakwama, Vichwa havijakamilika kutengenezwa

Akili zako na ubishi wa kutokuwa na maono nenda kabishane na mkeo, hiyo mind set yenu ya kufikiria Dar ndio termination ya kila kitu ondoeni hizo kasumba, hiyo sgr inaweza kubeba dagaa na samaki tuuza hapk dodoma au singida, tunaweza kubeba sukari na nguo toka uganda tukauza huko morogoro na Tabora, inaweza kubeba ndizi za bukoba ikapeleka dodoma na morogoro sio mpaka Dar na inaweza kubeba watu kutoka Mwanza shinyanga mpka morogoro..... Poleni sana kwa kutokuwa na maono.
Mi siwezi kubishana kwa kejeli ! Im not wired that way !! Wewe tukana mi nitakuelimisha
Broo kwa hali ya kawaida ushawahi kuona behewa la treni limebeba ndizi au dagaa? Unafahamu hiyo mizigo ina attract bei ndogo sana za usafiri kutoka huko kwenda popote Tanzania?
Gharama za kujenga sgr zilivyo juu pesa itarudi kweli kama mizigo inatarajiwa kuwa ni dagaa na ndizi za kushuka dodoma na mororgoro?
Ati sukari kutoka uganda!!! hivi unafahamu hata sera ya nchi yako na kodi ya sukari inayotoka nje ?
 
Akili zako na ubishi wa kutokuwa na maono nenda kabishane na mkeo, hiyo mind set yenu ya kufikiria Dar ndio termination ya kila kitu ondoeni hizo kasumba, hiyo sgr inaweza kubeba dagaa na samaki tuuza hapk dodoma au singida, tunaweza kubeba sukari na nguo toka uganda tukauza huko morogoro na Tabora, inaweza kubeba ndizi za bukoba ikapeleka dodoma na morogoro sio mpaka Dar na inaweza kubeba watu kutoka Mwanza shinyanga mpka morogoro..... Poleni sana kwa kutokuwa na maono.
Nimepanda treni ya kutoka kigoma kwenda dar hivi karibuni, tabora behewa la kwenda mwanza lilikuwa ni moja tu. Yani angalau treni ya mpanda inajaza lakinj sio ya mwanza !
Halafu ondoa makasiriko na watu wa dar haikusaidii!
 
Mi siwezi kubishana kwa kejeli ! Im not wired that way !! Wewe tukana mi nitakuelimisha
Broo kwa hali ya kawaida ushawahi kuona behewa la treni limebeba ndizi au dagaa? Unafahamu hiyo mizigo ina attract bei ndogo sana za usafiri kutoka huko kwenda popote Tanzania?
Gharama za kujenga sgr zilivyo juu pesa itarudi kweli kama mizigo inatarajiwa kuwa ni dagaa na ndizi za kushuka dodoma na mororgoro?
Ati sukari kutoka uganda!!! hivi unafahamu hata sera ya nchi yako na kodi ya sukari inayotoka nje ?
Me siwezi kuongea na mtu bila facts chukua hii labda itakusaidia, hapa utaona umuhimu wa sgr Mwanza kuliko hata sehemu yoyote ya Tanzania, ukishindwa baki na chuki na wivu wako na ujinga wako baada ya hapa usiniquote fanya yameisha 👇👇
Screenshot_20230531-204504_1685555141653.jpg
 
Me siwezi kuongea na mtu bila facts chukua hii labda itakusaidia, hapa utaona umuhimu wa sgr Mwanza kuliko hata sehemu yoyote ya Tanzania, ukishindwa baki na chuki na wivu wako na ujinga wako baada ya hapa usiniquote fanya yameisha 👇👇
View attachment 2641793
Ramani bila vielelezo !! Huna hoja ya kuongea!!
Never quote me na tufanye umeshinda weye!!
 
Unaongea sana bro halafu huna exposure !! Niambie ni mzigo gani unatoka uganda na kuja dar? Mwanza huduma anapeleka saruji kanda ya ziwa lakini kila siku anarudisha gari tupu huku nyingine akiwa zimebebana kutoka mwanza !! Unategemea sgr itarudi na mzigo gani?
Sgr haiwezi kuleta ushindani kwenye abiria maana hiyo dar moro tu haitapata abiria kwa nauli ile waliyopropose. Tegemeo lililobaki ni mizigo ambayo kwa huko inapokwenda ni kama haiwezi kupata mzigo
Kwa wazungu mbali nenda hapo mombasa uone kama sgr inategemea abiria ! Life line ya reli popote duniani ni mizigo abiria ni kachumbari tu.
Uliwahi kuishauri TRA hili jambo?
 
Hicho kipande cha dar moro mnataka kianze kufanya kazi gani? Je kitasafirisha nini? Watu? Au mizigo? Na kama ni watu je hao watu wataacha kupanda buses wapande train ya gharama kubwa..... Na kama nu mizigo kuna biashara gani kati ya Dar na moro....

Kuanza kwa hicho kipande kitakuwa ni hasara kubwa kwa taifa tunaomba watanzania muwe na subra na mpunguze sifa na mihemko na mjifunze kujua vipaumbele...na kwasasa serikali imeona hilo ndio maana kila siku wanatafuta njia za kuwadanganya kwasababu kuanza kwa hicho kipande ni hasara tusubiri reli yote kipande cha Dar mpaka Mwanza kikamilike ili tuone tija ta hiyo reli yetu ya sgr.
Kipi bora, kusema ukweli, au kuendelea kudanganya?

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Serikali imesema majaribio ya SGR (Dar es Salaam-Morogoro) hayakuanza Mei 2023 kama ilivyopangwa kwa sababu vichwa vya treni havikukamilika kwa wakati.Kutokamilika kumetokana watengenezaji kutopata baadhi ya vipuri kutokana na athari za UVIKO19 na vita ya Ukraine na Urusi.

View attachment 2641721
Sababu ni vita ya Ukraine na Uviko 19 kupelekea viwanda vinavyotengeneza vipuri vinavyotumika kutengenezea vichwa hivyo huko nchini Canada kukwama😂

This is Africa
 
Huu mradi wa sgr Jiwe alikurupuka taifa linaingia gharama za mikopo na ujenzi ambao hauna manufaa...
Unamuingiza mtu aliyekufa sasa miaka miwili hajui kinachoendelea.

Huyo kiongozi wako wa sasa anauendeleza huo mradi kwa sababu anaona una manufaa ingekuwa tofauti na hivyo angeusimamisha tatizo aina ya team aliyo nayo watu kama kina Mchemba wazee wa %25 hawawezi kutaka mradi ukamilike coz kila siku wanaingiza ganji zao kupitia hapo.
 
Akili zako na ubishi wa kutokuwa na maono nenda kabishane na mkeo, hiyo mind set yenu ya kufikiria Dar ndio termination ya kila kitu ondoeni hizo kasumba, hiyo sgr inaweza kubeba dagaa na samaki tuuza hapk dodoma au singida, tunaweza kubeba sukari na nguo toka uganda tukauza huko morogoro na Tabora, inaweza kubeba ndizi za bukoba ikapeleka dodoma na morogoro sio mpaka Dar na inaweza kubeba watu kutoka Mwanza shinyanga mpka morogoro..... Poleni sana kwa kutokuwa na maono.
sioni sababu kwa nini mnabishana a kurushiana vijembe!!!, alichokiongea huyu jamaa ni kitu fikirishi, ni ukweli tu ulio wazi kabisa kwamba mzigo kutoka mwanza/kanda ya ziwa ni mchache mno kuifeed sgr vya kutosha. kinachotakiwa hapa ni kuanza kujipanga kuhakikisha mzigo unapatikana.ndizi na dagaa bado ni kidogo mno
 
Back
Top Bottom