Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Inadaiwa, hawa ndio wanasiasa wajao .. pathetic"Tren ya Samia inayodaiwa kuwa ni ya umeme imetoka Dar saa tatu kamili asubuhi imefika Morogoro saa nane na dakika tano mchana yani imetumia masaa matano kwa km 190. Maana yake hii tren ya Escape From Sobibor ilikuwa inatembea kilomita 38 kwa saa, inshot hii ni baiskel ya mkaa."ameandika mdude huko twita.
View attachment 2917168