Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
binafsi moro wangeweka 25,000 anayepanda apande asiyepanda asubiri basi. dodoma wangeweka 50,000 anayepanda apande, asiyepanda aondoke hapa, n.kWabongo mnapenda vitu vizuri Kwa bei rahisi ndio maana mwendokasi unapata hasara. Hiyo 23000 walioiweka sio bei ya wao kupata faida Mzee.
Wacha kutufokea serikali haifanyi biashara inatoa huduma. Ilitakiwa waweke bei ya chini zaidi ya nauli ya mabasi.binafsi moro wangeweka 25,000 anayepanda apande asiyepanda asubiri basi. dodoma wangeweka 50,000 anayepanda apande, asiyepanda aondoke hapa, n.k
Utafikiri mtaiweza hiyo biasharabinafsi moro wangeweka 25,000 anayepanda apande asiyepanda asubiri basi. dodoma wangeweka 50,000 anayepanda apande, asiyepanda aondoke hapa, n.k
Teah sababu option nyengine zipo,huwezi lalamika service mpya na ya uhakika kua na bei juu. Imagine kama treni inatumia masaa 3 kamili kufika moro,pia nafasi kubwa,pia kuna vyoo na mgahawa kwanini usilipie zaidi.binafsi moro wangeweka 25,000 anayepanda apande asiyepanda asubiri basi. dodoma wangeweka 50,000 anayepanda apande, asiyepanda aondoke hapa, n.k
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ushazindukaWamesema saa 4 asubuhi. Unatakaa nikae station mpk nizimie?
Kibaha kongowe sehemu moja inaitwa sogaKibaha pana Station ya SGR?
Me nlipitia njia ya vikugeNitakupitia hapo chap na Depal , tutapita njia ya Tumbi, Boko Mnemela/Timiza kwenda kutokea Soga...
Wamesema Behewa moja ni Power Bank
Umeme utakuepo siku hiyo?
Hale na New Pangani kitu ni hicho hicho?SGR inalishwa na gridi ya taifa kutoka sources zote, ukiona haina umeme ujue Tanzania nzima haina umeme...Kidatu, Mtera, Ubungo, Kinyerezi I&II, Hale, Nyumba ya Mungu, JNHP, Tegeta n.k...
Watu wana roho ngumu sana, yaani ufanyiwe majaribio na hawa hawa Watz ambao kuna mwaka Daktari alipasua kichwa badala ya mguu 🤔🤔🤔🤔
Hale na New Pangani kitu ni hicho hicho?
Kumbe Safari ulimaanisha safari ya tren yenyewe. Dah mimi nilishawaza kitu kingine kabisa
Hapo mama yako anaingiaje? Yaani unazungumzia jambo la kitaifa unamhusisha mama yako kuwa anahujumiwa? Huo si wendawazimu. Kama nyie mnaona ni ghali tutapanda sisi. Rais amekubaliana na hii bei. Wewe na mama yako mjipange.tatizo ni VIWANGO VYA NAULI! Dar Moro ilitakiwa iwe sawa na Bus ili watu wawe wanachagua wenyewe nyie mkaweka 23,000 kama sio.kuhujumu mama ni nini?! pili biashara hii ni biashara endelevu sio ya kutafta faida mwaka.mmoja hii ni SERVICE hivyo majibu yake yawe kama daraja la kigamboni ambalo bei ni sawa na pantoni! tuache laana kwenye kodi za watanzania
Waweke lipa namba nikulipieBure au?
Ile Treni ya Komredi Polepole ya Moshi - Arusha bado ipo?!😂😂Utafikiri mtaiweza hiyo biashara
Tunawapa miezi 3 tu nyie chali
Ova
Kibaha pana Station ya SGR?
na kuna option ya kupanda mabasi ukitaka, wacha waweke bei reasonable ili mradi ujiendeshe sio waweke bei ya kichovu halafu washindwe kulipa mishahara na maboresho unakuta mradi unakuwa kama mwendokasi yenu hiyo. tujifunze kwa nchi za wenzetu. hawatakiwi kutoa msaada na hiyo haitakiwi kuwa huduma, ni biashara huduma.Teah sababu option nyengine zipo,huwezi lalamika service mpya na ya uhakika kua na bei juu. Imagine kama treni inatumia masaa 3 kamili kufika moro,pia nafasi kubwa,pia kuna vyoo na mgahawa kwanini usilipie zaidi.