Majaribio ya treni ya SGR kufanyika Februari 26, 2024

Majaribio ya treni ya SGR kufanyika Februari 26, 2024

tatizo ni VIWANGO VYA NAULI! Dar Moro ilitakiwa iwe sawa na Bus ili watu wawe wanachagua wenyewe nyie mkaweka 23,000 kama sio.kuhujumu mama ni nini?! pili biashara hii ni biashara endelevu sio ya kutafta faida mwaka.mmoja hii ni SERVICE hivyo majibu yake yawe kama daraja la kigamboni ambalo bei ni sawa na pantoni! tuache laana kwenye kodi za watanzania
hivi kweli kulipa 23,000 dar moro unaona hela kubwa? wakati izo mkienda bar mnabwia bia zote kwa siku moja.
 
tatizo ni VIWANGO VYA NAULI! Dar Moro ilitakiwa iwe sawa na Bus ili watu wawe wanachagua wenyewe nyie mkaweka 23,000 kama sio.kuhujumu mama ni nini?! pili biashara hii ni biashara endelevu sio ya kutafta faida mwaka.mmoja hii ni SERVICE hivyo majibu yake yawe kama daraja la kigamboni ambalo bei ni sawa na pantoni! tuache laana kwenye kodi za watanzania
Wabongo mnapenda vitu vizuri Kwa bei rahisi ndio maana mwendokasi unapata hasara. Hiyo 23000 walioiweka sio bei ya wao kupata faida Mzee.
 
Tunakaribia 🤣
Babu amelala Watu8

IMG_20240226.jpg


Goma lilishafika mji kasoro bahari kitambo...

Depal alikuwa busy kule dirishani kuchat tu 😄
 
Tumeahirisha majaribio mpk trh 26 march 2025 ili tuitumie km njia ya kampeni wkt wa uchaguzi mkuu

We mzee treni imeondoka Dar na imefika Moro...

Sema ndani kulikuwa na wanahabari wengi lakini behewa tulikaa alikiwepo yule kijana anaitwa Baba Levo sijui, ana makelele kweli...
 
So wanapga majaribio mawili kwa wakati mmoja. Siasa hizi, uchaguzi wa serikali za mtaa na fujo zake. Mwaka kesho sijui watakuja na nini, au watamuiga Ruto na sera yake nyumba bora kwa kila mtu 😂😂😂😂
 
Haikuwa kwenye top speed, na kulikuwa na misosi kama vile safari ambavyo zitakuwa...

Lakini bado hizi coaches sio kama zile treni za Ulaya ambazo huwa na leather coaches, ila si mbaya...
Kumbe Safari ulimaanisha safari ya tren yenyewe. Dah mimi nilishawaza kitu kingine kabisa
 
Hata ikiwa Bure labda nisiwe na kazi kama baba levo
Watu wana roho ngumu sana, yaani ufanyiwe majaribio na hawa hawa Watz ambao kuna mwaka Daktari alipasua kichwa badala ya mguu 🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom