Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
kwenye kila kitu wachawi huwa hamkosekani, mtakuwepo tu. shindwa kwa Jina la Yesu.Utafikiri mtaiweza hiyo biashara
Tunawapa miezi 3 tu nyie chali
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye kila kitu wachawi huwa hamkosekani, mtakuwepo tu. shindwa kwa Jina la Yesu.Utafikiri mtaiweza hiyo biashara
Tunawapa miezi 3 tu nyie chali
Ova
unataka waweke bei ya chini afu mishahara walipe nini sasa? mradi utajiendeshaje kama unatoa huduma? manake kama unatoa huduma per se unatakiwa uanze kuupangia bajeti ya kwenye mfuko wa serikali, sisi tunaomba mradi usihitaji pesa za serikalini, ujiendeshe wenyewe wasiopenda kupanda treni wapande mabasi fresh tu, mbona yapo mengi sana?Wacha kutufokea serikali haifanyi biashara inatoa huduma. Ilitakiwa waweke bei ya chini zaidi ya nauli ya mabasi.
View attachment 2917137View attachment 2917138
View attachment 2917139
Kama wahudumu wenyewe ndio hawa, bora niendelee kupanda ABC tu au KIMOTCO.
Ile Treni ya Komredi Polepole ya Moshi - Arusha bado ipo?!😂😂
Hata hii watakuja kumuuzia ShabibyWalisitisha ile...
Wanasema imetumia dakika 90Sasa imetumia masaa mawili na nusu Hadi Moro, kuna treni KWELI hapo?
Hata hii watakuja kumuuzia Shabiby
Sasa imetumia masaa mawili na nusu Hadi Moro, kuna treni KWELI hapo?
Labda kama itafika Mwanza na Kigoma 😂😂Hii kuna mkopo mzee, lazima wagangamale...
Hata Abood akifika Top speed Morogoro ni saa 1 na dakika 40Ilikuwa inaenda mwendo wa kawaida, haikufika top speed...
ile kutumia mabehewa yale ya ajabuajabu sijawaelewa kabisa. kichwa kinaonekana cha kisasa, ila behewa ni kama yale ya tazara. tuelewesheni? pesa mliyopeleka ilikuwa ya kununua mabehewa ya tren za kisasa au hayo ya kantalamba?View attachment 2917137View attachment 2917138
View attachment 2917139
Kama wahudumu wenyewe ndio hawa, bora niendelee kupanda ABC tu au KIMOTCO.
Hata Abood akifika Top speed Morogoro ni saa 1 na dakika 40
Labda kama itafika Mwanza na Kigoma 😂😂
Hapana, safari kama pombeUliwaza safari kwa maana ya kwenda mbugani?
Hivi nyie ccm mbona huwa hamkosi sababu?Unaanzaje kumsikiliza mvuta bangi kama Mdude Nyagali? Huyo bangi ilishakaa kichwani na kuendelea kumletea madhara kichwani mwake. Treni isingeweza kwenda mwendo wake mkali kwa sababu bado hakujafanyika maandalizi ya kutosha maeneo mbalimbali ya vivuko vya binadamu,wanyama pamoja magari.kwa hiyo ni lazima uende taratibu kwa tahadhari kubwa.